Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 455
- Thread starter
- #41
Mmh! wala wewe sio fiancee wake, unajipendekeza tu. Ngoja nikueendee kwa Bi. Kalembwana kule Kilombero nikakushushe busha ndio utakoma
EEEEEEEEEEEHhhhhhhhhhhh hayo tena? Judith tayari mambo ya LUKOMOLO NA SAMBA toka mitaa yetu kwa mzee MWANAMARUNDI kanda ya ziwa, Busha litagonga na kurudi kwako maana Ngosha hata siku moja hawapati Busha, usijaribu weye....