Tman900
Senior Member
- May 30, 2017
- 175
- 345
Juzi nilidondosha Simu ndogo/Kitochi Nokia 3310.Mda wa saa Kumi jioni
Maeneo ya Mwera darajani Kibada(Kigamboni) kabla ya kulikaribia Daraja Au Baada ya Daraja Mitaa hiyo.
Hiyo line Ni ya Halotel inapasswed.
Kama Kuna mtu ameokota Natoa Offa ya Tsh 50,000/=
#Nitaifuata hapo kwa Gharama zangu....
Ntaongeza Offer kwa mtu ambae ameokota hiyo line offer 100,000/=
Maeneo ya Mwera darajani Kibada(Kigamboni) kabla ya kulikaribia Daraja Au Baada ya Daraja Mitaa hiyo.
Hiyo line Ni ya Halotel inapasswed.
Kama Kuna mtu ameokota Natoa Offa ya Tsh 50,000/=
#Nitaifuata hapo kwa Gharama zangu....
Ntaongeza Offer kwa mtu ambae ameokota hiyo line offer 100,000/=