Line ya Simu Cm Card. imepotea Mtu ambayo ameokota. Kuna Offer Tsh 50,000/=

Tman900

Senior Member
May 30, 2017
175
345
Juzi nilidondosha Simu ndogo/Kitochi Nokia 3310.Mda wa saa Kumi jioni
Maeneo ya Mwera darajani Kibada(Kigamboni) kabla ya kulikaribia Daraja Au Baada ya Daraja Mitaa hiyo.
Hiyo line Ni ya Halotel inapasswed.
Kama Kuna mtu ameokota Natoa Offa ya Tsh 50,000/=
#Nitaifuata hapo kwa Gharama zangu....
Ntaongeza Offer kwa mtu ambae ameokota hiyo line offer 100,000/=
 
Juzi nilidondosha Simu ndogo/Kitochi Nokia 3310.Mda wa saa Kumi jioni
Maeneo ya Mwera darajani Kibada(Kigamboni) kabla ya kulikaribia Daraja Au Baada ya Daraja Mitaa hiyo.
Hiyo line Ni ya Halotel inapasswed.
Kama Kuna mtu ameokota Natoa Offa ya Tsh 50,000/=
#Nitaifuata hapo kwa Gharama zangu....
Ntaongeza Offer kwa mtu ambae ameokota hiyo line offer 100,000/=
Habari kaka.
Nitumie Advance ya hyo Offer nianze kaz ya kuitafuta mkuu.
 
Juzi nilidondosha Simu ndogo/Kitochi Nokia 3310.Mda wa saa Kumi jioni
Maeneo ya Mwera darajani Kibada(Kigamboni) kabla ya kulikaribia Daraja Au Baada ya Daraja Mitaa hiyo.
Hiyo line Ni ya Halotel inapasswed.
Kama Kuna mtu ameokota Natoa Offa ya Tsh 50,000/=
#Nitaifuata hapo kwa Gharama zangu....
Ntaongeza Offer kwa mtu ambae ameokota hiyo line offer 100,000/=
Unataka kuniambia hujui kama kuna kurejesha line? Umeshindwa ku renew? Acha utoto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom