Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,817
- 4,568
Wakazi wa Kata ya Kitumbikwera katika manispaa ya Lindi, wameiomba Serikali kuharakisha matengenezo ya kivuko kilichopo katika eneo lao ili waendelee na shughuli za uzalishaji mali.
Kuharibika kwa kivuko cha MV Kitunda, kumesababisha wananchi hao kutumia boti zinazodaiwa si salama zenye kuhatarisha maisha yao.
Wakizungumza na Mwananchi Digital, leo Alhamisi Novemba 16, 2023, wananchi hao wamesema Serikali isipoharakisha matengenezo wataathirika zaidi kiuchumi.
Kuharibika kwa kivuko cha MV Kitunda, kumesababisha wananchi hao kutumia boti zinazodaiwa si salama zenye kuhatarisha maisha yao.
Wakizungumza na Mwananchi Digital, leo Alhamisi Novemba 16, 2023, wananchi hao wamesema Serikali isipoharakisha matengenezo wataathirika zaidi kiuchumi.