Lindi: Mbunge wa CCM Nachingwea azomewa na Wananchi

Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Lindi, Amandus Chinguile ameonja joto la jiwe baada ya kuzomewa na wananchi wa kata ya Naipanga, alipokuwa akifanya mkutano wa hadhara. Wananchi wamesikika wakisema “tumekuchoka na hatukutaki, ondoka zako”.

Amandus Chinguile ni mbunge wa Magufuli hakutokana na kura za umma. Mgombea wa CHADEMA jimbo la Nachingwea, Dkt. Mahadhi Mmoto aliporwa ushindi wake na kutangazwa Amandus kimagendo.

27.10.2020, mgombea Ubunge Jimbo la Nachingwea 2020 CHADEMA, Dkt. Mahadhi Mmoto, alikamatwa (siku moja kabla ya kupiga kura) akiwa na wenzake kumi na moja wakapelekwa Mahabusu.

28.10.2020, Dkt. Mahadhi Mmoto, akatolewa mahabusu na Polisi Mahabusu (Mmoto pekee yake) akaenda kupiga Kura na kurudishwa Mahabusu. Wenzake 11 hawakupiga kura.

29.10.2020, akatolewa mahabusu na kupelekwa kwenye majumuisho ya kura. Siku hiyo wote wakasafirishwa na kupelekwa Lindi walifunguliwa kesi wakidaiwa kuharibu Mali za Serikali.

29.10.2020, Dkt. Mahadhi Mmoto akiwa gerezani., Mgombea Ubunge wa CCM Jimbo la Nachingwea, Amandus Chingule akapewa kura 36,761 na Dkt. Mahadhi Mmoto CHADEMA akapewa kura 27,801.

Hadi siku Magufuli anaapishwa kuwa Rais wa Tanzani, Dkt. Mahadhi Mmoto na wenzake 11 walikuwa gereza la Lindi wamenyimwa dhamana kwa tuhuma za kuharibu mali za Serikali na CCM.

Leo mbunge wa Magufuli anaonja joto ya jiwe kwa kuzomewa na wananchi na wakisema hawamtaki wamemchoka. Hii inatukumbusha kwamba dhulma siyo riziki. Mganga anafariki.
Nilishasema.w8mbi la kukataliwa CCM linakuja kwa kasi sana.

Wakati watu wameanza kurejesha kadi zao nimesema yapp mal7bwa yanakuja.

Naam yanakuja ambayo hamkuwahi kuyaona labla.

Mungu anaifuta CCM kwa speed kubwa
 
Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Lindi, Amandus Chinguile ameonja joto la jiwe baada ya kuzomewa na wananchi wa kata ya Naipanga, alipokuwa akifanya mkutano wa hadhara. Wananchi wamesikika wakisema “tumekuchoka na hatukutaki, ondoka zako”.
Kama ana akili aondoke tu akale starehe zake Dar na wala asigombee tena
 
Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Lindi, Amandus Chinguile ameonja joto la jiwe baada ya kuzomewa na wananchi wa kata ya Naipanga, alipokuwa akifanya mkutano wa hadhara. Wananchi wamesikika wakisema “tumekuchoka na hatukutaki, ondoka zako”.

Amandus Chinguile ni mbunge wa Magufuli hakutokana na kura za umma. Mgombea wa CHADEMA jimbo la Nachingwea, Dkt. Mahadhi Mmoto aliporwa ushindi wake na kutangazwa Amandus kimagendo.

27.10.2020, mgombea Ubunge Jimbo la Nachingwea 2020 CHADEMA, Dkt. Mahadhi Mmoto, alikamatwa (siku moja kabla ya kupiga kura) akiwa na wenzake kumi na moja wakapelekwa Mahabusu.

28.10.2020, Dkt. Mahadhi Mmoto, akatolewa mahabusu na Polisi Mahabusu (Mmoto pekee yake) akaenda kupiga Kura na kurudishwa Mahabusu. Wenzake 11 hawakupiga kura.

29.10.2020, akatolewa mahabusu na kupelekwa kwenye majumuisho ya kura. Siku hiyo wote wakasafirishwa na kupelekwa Lindi walifunguliwa kesi wakidaiwa kuharibu Mali za Serikali.

29.10.2020, Dkt. Mahadhi Mmoto akiwa gerezani., Mgombea Ubunge wa CCM Jimbo la Nachingwea, Amandus Chingule akapewa kura 36,761 na Dkt. Mahadhi Mmoto CHADEMA akapewa kura 27,801.

Hadi siku Magufuli anaapishwa kuwa Rais wa Tanzani, Dkt. Mahadhi Mmoto na wenzake 11 walikuwa gereza la Lindi wamenyimwa dhamana kwa tuhuma za kuharibu mali za Serikali na CCM.

Leo mbunge wa Magufuli anaonja joto ya jiwe kwa kuzomewa na wananchi na wakisema hawamtaki wamemchoka. Hii inatukumbusha kwamba dhulma siyo riziki. Mganga anafariki.
natoa ushauri wa buree..wabunge wa magufuri kusanyeni maokoto yote ya posho za bunge mpite hivi...hakuna chenu hapa
 
downloadfile(82).jpg

Fimbo za hivi nakumbuka nilichapwa mwaka 1993 na migambo wa kijiji kipindi mdogo baada ya kujulikana nimeiba DDT kwenye store ya shule yetu (wengi watakuwa wanaikumbuka,hii ilikuwa dawa ya kupiga kwenye kahawa).

Sasa kama mkuu wa kituo cha polisi nae ameweza kufanywa hivi seems nae ni mwizi na wananchi wameamua wa-deal nao man to man maana wanajikuta miungu watu
 
Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Lindi, Amandus Chinguile ameonja joto la jiwe baada ya kuzomewa na wananchi wa kata ya Naipanga, alipokuwa akifanya mkutano wa hadhara. Wananchi wamesikika wakisema “tumekuchoka na hatukutaki, ondoka zako”.

Amandus Chinguile ni mbunge wa Magufuli hakutokana na kura za umma. Mgombea wa CHADEMA jimbo la Nachingwea, Dkt. Mahadhi Mmoto aliporwa ushindi wake na kutangazwa Amandus kimagendo.

27.10.2020, mgombea Ubunge Jimbo la Nachingwea 2020 CHADEMA, Dkt. Mahadhi Mmoto, alikamatwa (siku moja kabla ya kupiga kura) akiwa na wenzake kumi na moja wakapelekwa Mahabusu.

28.10.2020, Dkt. Mahadhi Mmoto, akatolewa mahabusu na Polisi Mahabusu (Mmoto pekee yake) akaenda kupiga Kura na kurudishwa Mahabusu. Wenzake 11 hawakupiga kura.

29.10.2020, akatolewa mahabusu na kupelekwa kwenye majumuisho ya kura. Siku hiyo wote wakasafirishwa na kupelekwa Lindi walifunguliwa kesi wakidaiwa kuharibu Mali za Serikali.

29.10.2020, Dkt. Mahadhi Mmoto akiwa gerezani., Mgombea Ubunge wa CCM Jimbo la Nachingwea, Amandus Chingule akapewa kura 36,761 na Dkt. Mahadhi Mmoto CHADEMA akapewa kura 27,801.

Hadi siku Magufuli anaapishwa kuwa Rais wa Tanzani, Dkt. Mahadhi Mmoto na wenzake 11 walikuwa gereza la Lindi wamenyimwa dhamana kwa tuhuma za kuharibu mali za Serikali na CCM.

Leo mbunge wa Magufuli anaonja joto ya jiwe kwa kuzomewa na wananchi na wakisema hawamtaki wamemchoka. Hii inatukumbusha kwamba dhulma siyo riziki. Mganga anafariki.
Hivi ndivyo inayotakiwa kwa wote
 
Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Lindi, Amandus Chinguile ameonja joto la jiwe baada ya kuzomewa na wananchi wa kata ya Naipanga, alipokuwa akifanya mkutano wa hadhara. Wananchi wamesikika wakisema “tumekuchoka na hatukutaki, ondoka zako”...
safi sana. inatakiwa kuwa hivi nchi nzima 2025 hadi wajue kuwa wananchi wamechoka kudanganywa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom