CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
Eti ka-Lizzy bado hakajapenda........teh teh teh
Teh teh teh
Mzazi
Lizzious bado hajakua
Eti ka-Lizzy bado hakajapenda........teh teh teh
Naona umecheka kwa furaha!
Sio kutabasamu tuuu,huwa simu inalazwa kifuani baada ya mazungumzo huku imekumbatiwa na mkono mmoja huku macho yanazunguka kuvuta kumbukumbu nzuri nzuri mpaka usingizi unakupitia!
Teh teh teh
Mzazi
Lizzious bado hajakua
Teh teh teh
Mzazi
Lizzious bado hajakua
Hutaki sasa?!Nimefurahi kwaajili yenu!!
Hahahahaha Semenya sio? sasa Boy friend si hana sauti kabisa kwako?
Nimeipenda sana hiyo. Sasa ngoja nimtafute kwenye Skype aung'arishe moyo wangu.
Bado aisee. Bado ananywea juisi kwenye sippy cup na akiwa analialia anawekewa pacifier mdomoni.
Atiiiiii?!
Mpaka niote mvi ndo mtajua nimekua ehhhh?!
Binti akiwa toto dogo anakuwa na hisia kama zako (za kiume)
Binti akiwa toto dogo anakuwa na hisia kama zako (za kiume)
Haka ka Lizzy kanajifanya ka tomboy flani hivi. Dawa yake iko inakorogwa.
Haka ka Lizzy kanajifanya ka tomboy flani hivi. Dawa yake iko inakorogwa.
Ehhhh?!
Kwahiyo siku nikiacha kunyonya vidole na mimi ntaanza kuwa na kiwewe cha mapenzi ehhhh?!
Subiri ukue kwanza, usijiachishe kunyonya vidole ili tukuone mkubwa
Haya mambo yatakuingia automatic yenyewe
Yaani kila asubuhi utakuwa unataka koni ya azam
MJ1,
Sorry, I've never been in love!