LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,121
- 27,127
Wewe unaesoma Uzi huu bila shaka :
1. Umewahi KUKUTANA na mtu mwenye tatizo kama hili. Au
2. Wewe mwenyewe una tatizo hilo ila hujui kama upo nalo.
Tatizo hili mara nyingi humkuta mtu ambae amepiga hatua kidogo kwenye maisha au amepata breakthrough kiuchumi jambo ambalo yeye analitafsiri kama mafanikio..
Mtu huyu ataanza kuamini kwamba watu waliomzunguka hususani watu wake wa karibu ambao yeye ana amini amewazidi ki maisha, wanamchukia ama wanamuonea wivu and he will start to act and behave accordingly.
Ninayo mifano hai miwili:
1. Mpangaji wetu mwaka 2003.
Huyu jamaa alikuwa ndo kamaliza shule pale udsm. Alikuja kupanga nyumbani kwetu. Mwanzoni maisha yake yalikuwa magumu sana alikuwa analala chini na alidumu katika hali hiyo for almost 2 months. Mbaya zaidi wapangaji wenzake walikuwa wanamtangaza kwa watu kwamba analala chini.
Alipopiga buu baa alinunua gari halafu pale kwenye chumba na sebule alichopanga akaweka tv Kali fenicha na Mziki mnene..
Mbaya zaidi akawa anapiga muziki kwa sauti ya juu. Wapangaji wenzake wakimwambia apunguze sauti akawa anawafanyia ukaidi. Wakamshitaki kwa mshua( baba mwenye nyumba) ambae yeye alikuwa haishi hapo.
Mshua alipozungumza na jamaa, jamaa akasema wanamuonea wivu tu.
Baada ya tabia ya jamaa kuendelea mshua akampa notice. Jamaa kaondoka na kwenda kupanga sehemu nyingine huku akiwa ana amini kwamba amefukuzwa kwenye nyumba kwa sababu watu wanamuonea husda " mafanikio" yake na sio kwa sababu ya usumbufu wake kwa majirani.
Mfano wa pili: my own brother.
1. He is my own brother from the SAME -FATHER MOTHER.
2. Tumezaliwa tumbo moja ila mimba mbalimbali.
3. He is the first born in our family. He was born in the 70s. Mimi namfuata mara ya 5 am the last born in the family.
4. Alikuwa mtu wa kwanza kwenye familia yetu na partly kwenye ukoo wetu;
I. Kufika chuo kikuu
ii. Kununua gari.
Iii. Kutoka nje ya Tanzania ( sio nje ya Afrika/ hajawahi toka nje ya Afrika).
iii. Kujenga nyumba.
iv. Kujenga nyumba ukweni( he will be the first and the last to do this kind of abomination)
Kwa sababu hiyo jamaa kwa muda mrefu sana amekuwa akiamini sana kwamba yeye ndio mtu mwenye mafanikio kuliko watu wote kwenye familia yetu na partly ukoo wetu.
Na amekuwa aki behave accordingly. Hata tembea yake akija kwenye vikao na matukio ya familia na ukoo huwaga anatembea kama mtu ambae ametoka kucheza mpira wa ndondo amechoka jambo ambalo tafsiri yake kisaikolojia ni kwamba anaamini ameshayamaliza na kwamba nyinyi watu wengine mnacheza...
Watu wanamchora wanamuona to bishoo kwa sababu some of us have more money than him.
Kama wewe unaesoma Uzi huu upo kwenye kundi hilo please wacha mara moja tabia hiyo kwa sababu mwisho wa siku watu wenye tatizo hili huwaga wanaishia kuwa wachawi hasa pale unapoona watu ambao unadhani wewe unapesa kushinda wao, wana mafanikio makubwa kushinda wewe and they dont act strangely as you do.
Ogopa sana mchawi wa namna hii kwa sababu yupo tayari hata kuchinja n'gombe mmoja kila siku ili usifanikiwe...
1. Umewahi KUKUTANA na mtu mwenye tatizo kama hili. Au
2. Wewe mwenyewe una tatizo hilo ila hujui kama upo nalo.
Tatizo hili mara nyingi humkuta mtu ambae amepiga hatua kidogo kwenye maisha au amepata breakthrough kiuchumi jambo ambalo yeye analitafsiri kama mafanikio..
Mtu huyu ataanza kuamini kwamba watu waliomzunguka hususani watu wake wa karibu ambao yeye ana amini amewazidi ki maisha, wanamchukia ama wanamuonea wivu and he will start to act and behave accordingly.
Ninayo mifano hai miwili:
1. Mpangaji wetu mwaka 2003.
Huyu jamaa alikuwa ndo kamaliza shule pale udsm. Alikuja kupanga nyumbani kwetu. Mwanzoni maisha yake yalikuwa magumu sana alikuwa analala chini na alidumu katika hali hiyo for almost 2 months. Mbaya zaidi wapangaji wenzake walikuwa wanamtangaza kwa watu kwamba analala chini.
Alipopiga buu baa alinunua gari halafu pale kwenye chumba na sebule alichopanga akaweka tv Kali fenicha na Mziki mnene..
Mbaya zaidi akawa anapiga muziki kwa sauti ya juu. Wapangaji wenzake wakimwambia apunguze sauti akawa anawafanyia ukaidi. Wakamshitaki kwa mshua( baba mwenye nyumba) ambae yeye alikuwa haishi hapo.
Mshua alipozungumza na jamaa, jamaa akasema wanamuonea wivu tu.
Baada ya tabia ya jamaa kuendelea mshua akampa notice. Jamaa kaondoka na kwenda kupanga sehemu nyingine huku akiwa ana amini kwamba amefukuzwa kwenye nyumba kwa sababu watu wanamuonea husda " mafanikio" yake na sio kwa sababu ya usumbufu wake kwa majirani.
Mfano wa pili: my own brother.
1. He is my own brother from the SAME -FATHER MOTHER.
2. Tumezaliwa tumbo moja ila mimba mbalimbali.
3. He is the first born in our family. He was born in the 70s. Mimi namfuata mara ya 5 am the last born in the family.
4. Alikuwa mtu wa kwanza kwenye familia yetu na partly kwenye ukoo wetu;
I. Kufika chuo kikuu
ii. Kununua gari.
Iii. Kutoka nje ya Tanzania ( sio nje ya Afrika/ hajawahi toka nje ya Afrika).
iii. Kujenga nyumba.
iv. Kujenga nyumba ukweni( he will be the first and the last to do this kind of abomination)
Kwa sababu hiyo jamaa kwa muda mrefu sana amekuwa akiamini sana kwamba yeye ndio mtu mwenye mafanikio kuliko watu wote kwenye familia yetu na partly ukoo wetu.
Na amekuwa aki behave accordingly. Hata tembea yake akija kwenye vikao na matukio ya familia na ukoo huwaga anatembea kama mtu ambae ametoka kucheza mpira wa ndondo amechoka jambo ambalo tafsiri yake kisaikolojia ni kwamba anaamini ameshayamaliza na kwamba nyinyi watu wengine mnacheza...
Watu wanamchora wanamuona to bishoo kwa sababu some of us have more money than him.
Kama wewe unaesoma Uzi huu upo kwenye kundi hilo please wacha mara moja tabia hiyo kwa sababu mwisho wa siku watu wenye tatizo hili huwaga wanaishia kuwa wachawi hasa pale unapoona watu ambao unadhani wewe unapesa kushinda wao, wana mafanikio makubwa kushinda wewe and they dont act strangely as you do.
Ogopa sana mchawi wa namna hii kwa sababu yupo tayari hata kuchinja n'gombe mmoja kila siku ili usifanikiwe...