Ijuganyondo
Member
- Jan 13, 2011
- 62
- 1
Eti ni kweli kwamba mwanamke bila mume&and vice versa hajakamilika?? Je ni muhimu kuoa/kuolewa?
Hii post leo sijui ya ngapi duuhhh haya bana!!
kumbe na wewe umeona!???Hii post leo sijui ya ngapi duuhhh haya bana!!
Hii post leo sijui ya ngapi duuhhh haya bana!!
We umeoa/olewa??Kama ndio je unajiona umekamilika kuliko mwanzo??Kama hapana je unahisi hujakamilika?Majibu unayo mwenyewe!
We umeoa/olewa??Kama ndio je unajiona umekamilika kuliko mwanzo??Kama hapana je unahisi hujakamilika?Majibu unayo mwenyewe!
hii inatakiwa waliooa/kuolewa ndio watupe exp...
kwani kuolewa kunaongeza nini katika maisha yako kama mwanamke
Kipengele cha kwanza umepatia tunafanya kazi na kupata vipato kuliko hao wanaume wakati mwingine,ila huku kwingine sidhani kama kuna ukweli sio wote wanaopiga nyeto,mimi binafsi yangu wala siijui inafanywaje,ila siku nikitaka mtoto najua ntapata sihitaji ndoa,na haja nyingine ntatimiziwa sihitaji ndoa.Kwa mwanamke life without husband nadhani inawezekana fo the following reasons:
now a days we are so independent-tunafanya kazi na tuna uwezo wa kuhudumia familia.
tunaweza kuzaa bila ya mwanaume--unaenda kununua sperms
la mwisho unaweza kumaliza haja zako mwenyewe-kumbuka wanawake pia wanapiga nyeto halafu ukiwa na ile vibrator(dildo) ndio inamaliza kila kitu
Kwa mwanamke life without husband nadhani inawezekana fo the following reasons:
now a days we are so independent-tunafanya kazi na tuna uwezo wa kuhudumia familia.
tunaweza kuzaa bila ya mwanaume--unaenda kununua sperms
la mwisho unaweza kumaliza haja zako mwenyewe-kumbuka wanawake pia wanapiga nyeto halafu ukiwa na ile vibrator(dildo) ndio inamaliza kila kitu
Hayo maneno sio ya kumnyamazisha ila ndo ukweli wenyewe!!Ndoa kama kitu kingine chochote kile kinaweza kua - au + kutegemea na mtu mwenyewe!Vile vile kwenye ukamilifu..inaweza kukukamilisha au kukuharibia kama ulikua nao mwanzo!So ndio jibu analo yeye inapomhusu yeye na mimi nnalo inaponihusu mimi!It's an individual thing...afikirie akiwa single anajionaje na akiwa na mtu anajionaje atakua amepata jibu!Nadhani ataelewa zaidi kuliko kumpa jibu kama hilo juu