Kuna Mwita25 wangapi humu jf?Chadema is an officially recognized institution and will vanquish JK through polls not demonstrations. We won't have to wait until matters exacerbate like in Libya but rather (will) keep on using political platform to clearly adddress CCM points of weakness to the voters. Igunga has spoken and the movement ripples out the whole country which in the end will witness a peaceful overthrow of CCM regime.
Kweli mzee, wewe unajua sana kiingereza,duh!!! Ulisoma london nini?
Kauli mbiu ya cdm ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia gadaf, cdm wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja jk wetu na magwanda yao kama chinjachinja!! Sipendi cdm wanachofanya,sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bor uzee ni uzee tu hata ukikataa kuitwa mzee hutabadili kitu.hakuna dawa ya kuiponya ccm lazima ichape lapa.
Kauli mbiu ya cdm ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia gadaf, cdm wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja jk wetu na magwanda yao kama chinjachinja!! Sipendi cdm wanachofanya,sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya ccm na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya cdm kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia! Go ccm, go jk, go nape! I believe the new ccm is coming soon,ccm itayotutoa hapa tulipo kutupeleka sehemu nyingine ya neema zaidi! Watanzania nawasihi tuwaepuke hawa cdm, watatuletea maafa makubwa huko mbele, they are just serving their own stomachs! Libyan lebels=CHADEMA!! El 4 2015
Is it lebels or rebels? Shule za kata zina matatizo yake.
Je chini ya utawala wa ccm tz inaamani? Nadhan dhana ya neno "amani" haujui, huipendi tz kwan usingetetea up**zi unaofanywa na serikal zaidi ungekosoa ili wajirekebishe na hayo MAGAMBA yaendelee kutawala bila ya kuwa na hofu juu ya wazee wa Magwanda!
Kauli mbiu ya cdm ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia gadaf, cdm wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja jk wetu na magwanda yao kama chinjachinja!! Sipendi cdm wanachofanya,sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya ccm na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya cdm kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia! Go ccm, go jk, go nape! I believe the new ccm is coming soon,ccm itayotutoa hapa tulipo kutupeleka sehemu nyingine ya neema zaidi! Watanzania nawasihi tuwaepuke hawa cdm, watatuletea maafa makubwa huko mbele, they are just serving their own stomachs! Libyan rebels=CHADEMA!! El 4 2015
umenofurahisha sana wewe ,chadema ni zaid ya waasi wa libya,wao hata udiwani wako tayali kuua!
Kauli mbiu ya cdm ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia gadaf, cdm wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja jk wetu na magwanda yao kama chinjachinja!! Sipendi cdm wanachofanya,sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya ccm na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya cdm kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia! Go ccm, go jk, go nape! I believe the new ccm is coming soon,ccm itayotutoa hapa tulipo kutupeleka sehemu nyingine ya neema zaidi! Watanzania nawasihi tuwaepuke hawa cdm, watatuletea maafa makubwa huko mbele, they are just serving their own stomachs! Libyan rebels=CHADEMA!! El 4 2015
Kauli mbiu ya cdm ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia gadaf, cdm wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja jk wetu na magwanda yao kama chinjachinja!! Sipendi cdm wanachofanya,sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya ccm na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya cdm kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia! Go ccm, go jk, go nape! I believe the new ccm is coming soon, El 4 2015
Naipendatz nafikiri una matatizo mengi sana. Kwanza hata maana ya amani huielewi huwezi kusema hapa kuna amani wakati wamama na watoto wanakufa kila dakika kwa kukosa huduma za afya na njaa, vijana wanachinjana kwa kuiba shs 500 wapate angalua sahani ya wali mkavu kwa mama ntilie.Kauli mbiu ya cdm ni nguvu ya umma, kauli mbiu ya waasi wa libya nayo ni nguvu ya umma, what a coincidence!!! Waasi walianzia kule benghazi kama utani flani hadi leo wamemwua mzalendo wa ukweli and mwafrika wetu halisia gadaf, cdm wanaanza kama utani huko Arusha na Moshi na tukiendelea kuwachekea hawa waroho wa madaraka tutashuhudia siku wanaingia ikulu na kumchinja jk wetu na magwanda yao kama chinjachinja!! Sipendi cdm wanachofanya,sipendi vurugu and ukosefu wa amani!! To me bora niwe maskini chini ya ccm na amani yangu ya kutosha kuliko kuwa tajiri chini ya cdm kwa gharama ya damu ya watz wenzangu wasio na hatia! Go ccm, go jk, go nape! I believe the new ccm is coming soon,ccm itayotutoa hapa tulipo kutupeleka sehemu nyingine ya neema zaidi! Watanzania nawasihi tuwaepuke hawa cdm, watatuletea maafa makubwa huko mbele, they are just serving their own stomachs! Libyan rebels=CHADEMA!! El 4 2015
Hapo haukutaka kuandika Rondon kweli? lol eti lebels hahahaaaaaa