Unataka level seat mkuu nenda Zanzibar, kule wako straight sana juu ya hilo ingawa saev idadi ya watu inaongezeka kila uchao hivyo kunakua na kaugumu sanaKila nikipanda Coster naona baadhi ya Abiria Wana kalishwa watano watano ktk seat ya kukata watu wa 4 na kila kituo Kuna Askari wanatizama tu
nini kifanyike kudhibiti hili
Huku kwetu watu ni wengi sanaIngekuwa sawa hata huku kwetu wazingatie hilo