anatisha amekuwa nguruwe ?
Alaf umenikumbusha. Nina zaidi ya siku tatu sijaonja Kitimoto. Nadhani leo itapendeza kwenda kupunguzia hangover za weekend...
anatisha amekuwa nguruwe ?
Alaf umenikumbusha. Nina zaidi ya siku tatu sijaonja Kitimoto. Nadhani leo itapendeza kwenda kupunguzia hangover za weekend...
John Mnyika
Ndugu,
Asante sana kwa kuniunga mkono na kuwezesha kampeni mpaka sasa mimi binafsi pamoja na chama chetu cha CHADEMA kwa ujumla.
Tumedhamiria kudhibiti uchakachuaji wa kura kwa kuwa na mawakala makini na waaminifu watatu watatu kwa kila kituo kutoka kada mbalimbali mathalani wanachama, wasomi na wafanyakazi vijana kwa ujumla takribani elfu tatu (3,000).
Mawakala watahitaji maji, chakula, usafiri na mawasiliano siku hiyo ya Oktoba 31, 2010.
Hivyo basi, napenda kukukaribisha jumapili hii Oktoba 4, kwenye tafrija/harambee ya kuchangisha fedha na rasilimali nyinginezo "Fundraise", Landmark Hotel-Ubungo.
Tafadhali wasiliana na; Kenner (0719-516 747), Hawa (0715-185135)
Nakuomba usambaze na kuwafahamisha wengine wengi wenye kupenda kuona mabadiliko na wanaoniunga mkono ama kukiunga mkono CHADEMA.
Daima tukumbuke; Maslahi ya Umma Kwanza!
Wenu,
John MNYIKA.
Waheshimiwa wanajamvi.
nimetumiwa ujumbe mahususi kutoka kwa mbunge mtarajiwa wa Jimbo la ubungo. Shime tujitokeze tukamuunge mkono kwani pamoja na kura yako lakini kuna gharama za kulinda kura. tushiriki wazalendo.
Naobeni ratiba ya kampeni ya Harima Mdee CHADEMA kawe.