Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
Kama kuna mbunge kijana au mwanaharakati wa ukweli huwezi acha kumtaja john john mnyika, haya yamedhihirika kwenye mikutano yake ya kampeni kutokana na sera yake ya (AMUA) jinsi anavyo ishusha kwa wananchi wa UBUNGO ila yote kwa yote ni 24/09/2010 pale katikati ya saranga na kimara,
Wananchi walitokea kumlaki kwa shangwe kubwa huku akiambatana na naibu katibu mkuu ZITTO, alipo ingia ZITTO jukwaani nderemo na vifijo zilitawala kisha akayasema yake alipo maliza wananchi wakawa wanamsubiri kamanda wa ukweli JJ MNYIKA ndipo alipo weka history kwa wananchi ,
Kwa kauli yao wenyewe bila kushawishiwa walimtaka kamanda huyo asiombe kura kwani tayari yeye ni mbunge wao walicho muambia ni kwamba kamanda , tunaomba tukuchangia posho za mawakala then utueleze jinsi utakavyo linda kura zako kwa kushirikiana na sisi wanaubungo hata kwa mwezi mmoja tutashinikiza tume ikutangaze wewe, hapo kamanda akaamuru kamati ya fedha ipitishe vifaa vya kuchangisha fedha,
Kisha yeye akaendelea kuelezea jinsi ya ulinzi wake wa kura ndipo kila mwana ubungo alipo ibuka na kaulizake kila mtu anasema lake nikasikia huyu jamaa ninoma, huyu jamaa anatisha, huyu jamaa hashikiki, huyu jamaa kajipanga, mwaka huu ushindi ni lazima hata ccm wahamishie makao makuu yao hapa ubungo wataisoma namba .... na mengine mengi kilcho changia zaidi kuibuka kwa maneno haya ni kauli za mnyika kusema ataingiza mawakala watatu kila kituo , wananchi wakauliza kivipi, akaanza kushusha timu zake kwanza nitakuwa namtandao wa mawakala wa chuo kikuu, pili nitakuwa na mawakala kutokana na rafiki zangu ,tatu nitakuwa na mawakala kutokana na vikao vyangu vya nyumba kwa nyumba, swali la msingi likaja wataingia aje kwenye vituo wakati sheria inaruhusu wakala mmoja ,
kamanda akajibu jimbo la ubungo lina vyama vinavyo wania ubunge kumi na sita so kwa staili hii kunavyama viwili viliingia kwaajili ya kunilindia kura zangu na waligombea kwa makusudi hayo ya ulinzi wa kura zangu ili mawakala wawe wengi wasihongeke na watahakikisha matokeo haya badilishwi kwa gharama yeyote ila hata kwakujitole uhai wao ilimradi tuwakomboe wanaubungo na round hii hatutaki kusikia tumeibiwa ...................... CHADEMAAAAAAAA WATU WOTE VEMAAAAAA
Wananchi walitokea kumlaki kwa shangwe kubwa huku akiambatana na naibu katibu mkuu ZITTO, alipo ingia ZITTO jukwaani nderemo na vifijo zilitawala kisha akayasema yake alipo maliza wananchi wakawa wanamsubiri kamanda wa ukweli JJ MNYIKA ndipo alipo weka history kwa wananchi ,
Kwa kauli yao wenyewe bila kushawishiwa walimtaka kamanda huyo asiombe kura kwani tayari yeye ni mbunge wao walicho muambia ni kwamba kamanda , tunaomba tukuchangia posho za mawakala then utueleze jinsi utakavyo linda kura zako kwa kushirikiana na sisi wanaubungo hata kwa mwezi mmoja tutashinikiza tume ikutangaze wewe, hapo kamanda akaamuru kamati ya fedha ipitishe vifaa vya kuchangisha fedha,
Kisha yeye akaendelea kuelezea jinsi ya ulinzi wake wa kura ndipo kila mwana ubungo alipo ibuka na kaulizake kila mtu anasema lake nikasikia huyu jamaa ninoma, huyu jamaa anatisha, huyu jamaa hashikiki, huyu jamaa kajipanga, mwaka huu ushindi ni lazima hata ccm wahamishie makao makuu yao hapa ubungo wataisoma namba .... na mengine mengi kilcho changia zaidi kuibuka kwa maneno haya ni kauli za mnyika kusema ataingiza mawakala watatu kila kituo , wananchi wakauliza kivipi, akaanza kushusha timu zake kwanza nitakuwa namtandao wa mawakala wa chuo kikuu, pili nitakuwa na mawakala kutokana na rafiki zangu ,tatu nitakuwa na mawakala kutokana na vikao vyangu vya nyumba kwa nyumba, swali la msingi likaja wataingia aje kwenye vituo wakati sheria inaruhusu wakala mmoja ,
kamanda akajibu jimbo la ubungo lina vyama vinavyo wania ubunge kumi na sita so kwa staili hii kunavyama viwili viliingia kwaajili ya kunilindia kura zangu na waligombea kwa makusudi hayo ya ulinzi wa kura zangu ili mawakala wawe wengi wasihongeke na watahakikisha matokeo haya badilishwi kwa gharama yeyote ila hata kwakujitole uhai wao ilimradi tuwakomboe wanaubungo na round hii hatutaki kusikia tumeibiwa ...................... CHADEMAAAAAAAA WATU WOTE VEMAAAAAA