Elections 2010 Let's support John Mnyika!

Henry Kilewo

JF-Expert Member
Feb 9, 2010
899
1,084
Kama kuna mbunge kijana au mwanaharakati wa ukweli huwezi acha kumtaja john john mnyika, haya yamedhihirika kwenye mikutano yake ya kampeni kutokana na sera yake ya (AMUA) jinsi anavyo ishusha kwa wananchi wa UBUNGO ila yote kwa yote ni 24/09/2010 pale katikati ya saranga na kimara,

Wananchi walitokea kumlaki kwa shangwe kubwa huku akiambatana na naibu katibu mkuu ZITTO, alipo ingia ZITTO jukwaani nderemo na vifijo zilitawala kisha akayasema yake alipo maliza wananchi wakawa wanamsubiri kamanda wa ukweli JJ MNYIKA ndipo alipo weka history kwa wananchi ,

Kwa kauli yao wenyewe bila kushawishiwa walimtaka kamanda huyo asiombe kura kwani tayari yeye ni mbunge wao walicho muambia ni kwamba kamanda , tunaomba tukuchangia posho za mawakala then utueleze jinsi utakavyo linda kura zako kwa kushirikiana na sisi wanaubungo hata kwa mwezi mmoja tutashinikiza tume ikutangaze wewe, hapo kamanda akaamuru kamati ya fedha ipitishe vifaa vya kuchangisha fedha,

Kisha yeye akaendelea kuelezea jinsi ya ulinzi wake wa kura ndipo kila mwana ubungo alipo ibuka na kaulizake kila mtu anasema lake nikasikia huyu jamaa ninoma, huyu jamaa anatisha, huyu jamaa hashikiki, huyu jamaa kajipanga, mwaka huu ushindi ni lazima hata ccm wahamishie makao makuu yao hapa ubungo wataisoma namba .... na mengine mengi kilcho changia zaidi kuibuka kwa maneno haya ni kauli za mnyika kusema ataingiza mawakala watatu kila kituo , wananchi wakauliza kivipi, akaanza kushusha timu zake kwanza nitakuwa namtandao wa mawakala wa chuo kikuu, pili nitakuwa na mawakala kutokana na rafiki zangu ,tatu nitakuwa na mawakala kutokana na vikao vyangu vya nyumba kwa nyumba, swali la msingi likaja wataingia aje kwenye vituo wakati sheria inaruhusu wakala mmoja ,

kamanda akajibu jimbo la ubungo lina vyama vinavyo wania ubunge kumi na sita so kwa staili hii kunavyama viwili viliingia kwaajili ya kunilindia kura zangu na waligombea kwa makusudi hayo ya ulinzi wa kura zangu ili mawakala wawe wengi wasihongeke na watahakikisha matokeo haya badilishwi kwa gharama yeyote ila hata kwakujitole uhai wao ilimradi tuwakomboe wanaubungo na round hii hatutaki kusikia tumeibiwa ...................... CHADEMAAAAAAAA WATU WOTE VEMAAAAAA
 
ndugu

hebu angalia keyboard yako vizuri.........tumia "enter key" kutengeneza paragraph tafadhali
 
yah ubungo wanampa Mnyika tena maana kipindi kile na alishinda kwa keenja
 
anatisha amekuwa nguruwe ?

Nani aliyekwambia nguruwe anatisha..Kiti moto anatisha wakati mtu wa Pwani anapanga foleni pale kwa mamaChausiku kwaajili ya kitoweo?.......................JohnMnyika big-up sana, na kila lililo jema lije pande yako!
 
Hongera kamanda mnyika. Mwaka huu ubunge wa ubungo ni wako.mungu akupiganie kwa kila hali
 
Kura Ubungo tutakupa Bw Myika lakini usitufanyie yale ya Keenja na Lamwai tumechoka kutumika kama ngazi ya kupandia daraja la kisiasa.Take it as friendly warning.
 
Kama kuna mbunge kijana au mwanaharakati wa ukweli huwezi acha kumtaja john john mnyika, haya yamedhihirika kwenye mikutano yake ya kampeni kutokana na sera yake ya (AMUA) jinsi anavyo ishusha kwa wananchi wa UBUNGO ila yote kwa yote ni 24/09/2010 pale katikati ya saranga na kimara,

Wananchi walitokea kumlaki kwa shangwe kubwa huku akiambatana na naibu katibu mkuu ZITTO, alipo ingia ZITTO jukwaani nderemo na vifijo zilitawala kisha akayasema yake alipo maliza wananchi wakawa wanamsubiri kamanda wa ukweli JJ MNYIKA ndipo alipo weka history kwa wananchi ,

Kwa kauli yao wenyewe bila kushawishiwa walimtaka kamanda huyo asiombe kura kwani tayari yeye ni mbunge wao walicho muambia ni kwamba kamanda , tunaomba tukuchangia posho za mawakala then utueleze jinsi utakavyo linda kura zako kwa kushirikiana na sisi wanaubungo hata kwa mwezi mmoja tutashinikiza tume ikutangaze wewe, hapo kamanda akaamuru kamati ya fedha ipitishe vifaa vya kuchangisha fedha,

Kisha yeye akaendelea kuelezea jinsi ya ulinzi wake wa kura ndipo kila mwana ubungo alipo ibuka na kaulizake kila mtu anasema lake nikasikia huyu jamaa ninoma, huyu jamaa anatisha, huyu jamaa hashikiki, huyu jamaa kajipanga, mwaka huu ushindi ni lazima hata ccm wahamishie makao makuu yao hapa ubungo wataisoma namba .... na mengine mengi kilcho changia zaidi kuibuka kwa maneno haya ni kauli za mnyika kusema ataingiza mawakala watatu kila kituo , wananchi wakauliza kivipi, akaanza kushusha timu zake kwanza nitakuwa namtandao wa mawakala wa chuo kikuu, pili nitakuwa na mawakala kutokana na rafiki zangu ,tatu nitakuwa na mawakala kutokana na vikao vyangu vya nyumba kwa nyumba, swali la msingi likaja wataingia aje kwenye vituo wakati sheria inaruhusu wakala mmoja ,

kamanda akajibu jimbo la ubungo lina vyama vinavyo wania ubunge kumi na sita so kwa staili hii kunavyama viwili viliingia kwaajili ya kunilindia kura zangu na waligombea kwa makusudi hayo ya ulinzi wa kura zangu ili mawakala wawe wengi wasihongeke na watahakikisha matokeo haya badilishwi kwa gharama yeyote ila hata kwakujitole uhai wao ilimradi tuwakomboe wanaubungo na round hii hatutaki kusikia tumeibiwa ...................... CHADEMAAAAAAAA WATU WOTE VEMAAAAAA







Tufafanulie vizur cc wengine hatujui hiyo AMUA na sera zake ni vp?
 
Kama kuna mbunge kijana au mwanaharakati wa ukweli huwezi acha kumtaja john john mnyika, haya yamedhihirika kwenye mikutano yake ya kampeni kutokana na sera yake ya (AMUA) jinsi anavyo ishusha kwa wananchi wa UBUNGO ila yote kwa yote ni 24/09/2010 pale katikati ya saranga na kimara,

Wananchi walitokea kumlaki kwa shangwe kubwa huku akiambatana na naibu katibu mkuu ZITTO, alipo ingia ZITTO jukwaani nderemo na vifijo zilitawala kisha akayasema yake alipo maliza wananchi wakawa wanamsubiri kamanda wa ukweli JJ MNYIKA ndipo alipo weka history kwa wananchi ,

Kwa kauli yao wenyewe bila kushawishiwa walimtaka kamanda huyo asiombe kura kwani tayari yeye ni mbunge wao walicho muambia ni kwamba kamanda , tunaomba tukuchangia posho za mawakala then utueleze jinsi utakavyo linda kura zako kwa kushirikiana na sisi wanaubungo hata kwa mwezi mmoja tutashinikiza tume ikutangaze wewe, hapo kamanda akaamuru kamati ya fedha ipitishe vifaa vya kuchangisha fedha,

Kisha yeye akaendelea kuelezea jinsi ya ulinzi wake wa kura ndipo kila mwana ubungo alipo ibuka na kaulizake kila mtu anasema lake nikasikia huyu jamaa ninoma, huyu jamaa anatisha, huyu jamaa hashikiki, huyu jamaa kajipanga, mwaka huu ushindi ni lazima hata ccm wahamishie makao makuu yao hapa ubungo wataisoma namba .... na mengine mengi kilcho changia zaidi kuibuka kwa maneno haya ni kauli za mnyika kusema ataingiza mawakala watatu kila kituo , wananchi wakauliza kivipi, akaanza kushusha timu zake kwanza nitakuwa namtandao wa mawakala wa chuo kikuu, pili nitakuwa na mawakala kutokana na rafiki zangu ,tatu nitakuwa na mawakala kutokana na vikao vyangu vya nyumba kwa nyumba, swali la msingi likaja wataingia aje kwenye vituo wakati sheria inaruhusu wakala mmoja ,

kamanda akajibu jimbo la ubungo lina vyama vinavyo wania ubunge kumi na sita so kwa staili hii kunavyama viwili viliingia kwaajili ya kunilindia kura zangu na waligombea kwa makusudi hayo ya ulinzi wa kura zangu ili mawakala wawe wengi wasihongeke na watahakikisha matokeo haya badilishwi kwa gharama yeyote ila hata kwakujitole uhai wao ilimradi tuwakomboe wanaubungo na round hii hatutaki kusikia tumeibiwa ...................... CHADEMAAAAAAAA WATU WOTE VEMAAAAAA
Napata wasi wasi na hili sula la mawakala,naona bado hajaleta hasa uvumbuzi wa kudhibiti tatizo la wizi la hawa mafisadi,bado sijapata muanga mzuri kuhusu hawa mawakala, kusema hakki mara nyingi sisi wapinzani wanaotuangusha ni hawa mawakala,na mifano mingi ninayo hususani kwa chama changu cha Cuf jinsi mawakala walivokuwa wakinunuliwa na mafisadi,yaani wana njia nyingi wanatumia...
Ukiangalia kwa maelezo ya Mnyika anategemea pamoja na mawakala wa baadhi ya vyama vyengine,nakumbuka hilo lilitokea pale jimboni kwetu ktk uchaguzi ulopita tulitegemea mawakala wa baadhi ya vyama nao watakua upande wetu,siku ya siku,hatukuwaona wala yule wetu alijifanya mara kenda kula mara kaitwa yaani mtihani mtupu.
Na kuhusu marafiki zake wa Chuo kikuu naona na hapo bado vile vile,sababu wao ni jst waangalizi tu,na hata wakisema itakuwa mda umepita,muhimu ni pale panapohisabiwa kura,kunatakiwa msimamo wa hali ya juu.. naona azidishe mikakati hasa,natumai hata Mtatiro tayari tumemueleza baadhi ya mbinu anazotakiwa azitumie ili hawa mafisadi wasifanye ufisadi wao.. kila la kheri Mnyika..
 
bon
they are few ppl of this kind who think about their ppl instead of their benefit songa Myika songa its your time, freedom has come.
 
Back
Top Bottom