anatisha amekuwa nguruwe ?
anatisha amekuwa nguruwe ?
anatisha amekuwa nguruwe ?
Hongera kamanda mnyika. Mwaka huu ubunge wa ubungo ni wako.mungu akupiganie kwa kila hali
unauliza mafisadi gani kwani huwajui walio kwapua fedha za umma na kujimilikisha rasilamali za taifa kamuleze mabele marando utapata orodha ya mafisadi ukiweza mpigie simu rais wetu Dr w.Slaa atakujibu.Mafisadi gani?!:confused2:
unauliza mafisadi gani kwani huwajui walio kwapua fedha za umma na kujimilikisha rasilamali za taifa kamuleze mabele marando utapata orodha ya mafisadi ukiweza mpigie simu rais wetu Dr w.Slaa atakujibu.
Mkuu,Halima yuko fiti,leo pale Mbezi tangi bovu palikuwa hapatoshi!Kama Mnyika kisha maliza Ubungo, inabidi aje kumsaidia Mdee Kawe kwani sioni kampeni yake huku vipi?Pia ningewashauri Chadema Taifa kutangaza kwenye TV na Radio namba za kuchangia chama kwani hawajatangaza vya kutosha ili wananchi wawachangie; pia hizo namba zinaweza hata kutangazwa kwenye mikutano ya hadhara ili watu wanaochangia kwa mtandao wafanye hivyo wakiwa hapo mikutanoni!
he was our chairman of debating club pale maua seminary na ndipo nilipogundua uwezo wake achilia mbali zile A zake 9 na C moja kwenye matokeo yake ya f4,wana wa ubungo huu ni ushuhuda wangu kwenu juu ya uwezo wa mnyika,vote for him guyz