William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Wananchi wote JF, twendeni sasa kuelekea kwenye mwisho wa Mbio zetu za Ubunge wa EAC: Tuwapigie Wabunge wa Jamhuri kuwaomba kura zao wapigie mabadiliko, wapigie Change! Wapigie Taifa kwanza na wapigie JF: Do something and be part of the change!
- Tunataka kuwaelmisha wananchi kuhusu EAC, kwamba Tanzania ni mwanachama wa EAC, Faida na hasara zake, tunataka kuhakikisha tutawakilisha mawazo na wananchi huko EAC yakitokea kwa wabunge wa Jamhuri ambao ni wawakilishi wao kikatiba, tunataka maoni yao wananchi kabla ya kutoa maamuzi ya aina yoyote huko EAC, na muhimu kuliko yote ni kulinda masilahi ya wananchi na hasa taifa letu katika EAC!
- Jana tulikuwa Arusha, na Zanzibar, leo in another 15 minutes tutakuwa Radio Uhuru Live kwenye maswali na majibu kwa hiyo kama una tatizo piga simu utuulize live, Jumatatu tutakua Clouds Radio na TV Live, NA THEN TUTAANZA SAFARI YA KUELEKEA DODOMA, kwa hiyo twendeni mbele people!, twendeni pamoja JF mbele zaidi!
- MUNGU AIBARIKI TANZANIA NA AIBARIKI JF!
William KUMEKUCHA!
- Tunataka kuwaelmisha wananchi kuhusu EAC, kwamba Tanzania ni mwanachama wa EAC, Faida na hasara zake, tunataka kuhakikisha tutawakilisha mawazo na wananchi huko EAC yakitokea kwa wabunge wa Jamhuri ambao ni wawakilishi wao kikatiba, tunataka maoni yao wananchi kabla ya kutoa maamuzi ya aina yoyote huko EAC, na muhimu kuliko yote ni kulinda masilahi ya wananchi na hasa taifa letu katika EAC!
- Jana tulikuwa Arusha, na Zanzibar, leo in another 15 minutes tutakuwa Radio Uhuru Live kwenye maswali na majibu kwa hiyo kama una tatizo piga simu utuulize live, Jumatatu tutakua Clouds Radio na TV Live, NA THEN TUTAANZA SAFARI YA KUELEKEA DODOMA, kwa hiyo twendeni mbele people!, twendeni pamoja JF mbele zaidi!
- MUNGU AIBARIKI TANZANIA NA AIBARIKI JF!
William KUMEKUCHA!