Omuregi Wasu
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 749
- 148
Alitaka apewe viti vya ubunge nini?
Safari ya kufa kwa Chadema imeanza.
Muda mfupi tulisikia M/Kiti Mbeya, sasa M/Kiti wanawake Taifa....more to follow.
Nilikuwa sahihi hata mimi kujitoa wiki iliyopita.
Alitaka apewe viti vya ubunge nini?
Muda si mwingi redio Maria imeripoti kuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA Taifa amekihama chama hicho na kuhamia NCCR Mageuzi kisa anasema CDM kinaongozwa kindugu na kibaguzi kwani yeye alikuwa kati ya wabunge ishirini wa viti maalumu lakini jina lake likakatwa.
Mwenyekiti Mbowe shutuma hizi ni za kweli au za mfa maji?.
hata dr wenu wa kanon law alitoka ccm baada ya kukosa nafasi ya kugombea ubunge
Thanks
Do u mean dr ni mpenda uongozi?
Alitaka apewe viti vya ubunge nini?
unauliza karafuu pemba. Angalia alivyokosa urais
Kwa list iliyoenda NEC, angalia post number 22 ya Dr Kiltila Mkumbo!
hawawezi kukuua mkuu wamechoka na kauli ya mpiganaji wao kipenziAlipoukosa ubunge kwa tiketi ya CCM alikimbilia CDM namshauri kaukosa Urais CDM akimbilie CCM ili agombee Urais 2015. Ni ushauri tu jamani wamachamme msijeniua.....
Muda si mwingi redio Maria imeripoti kuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA Taifa amekihama chama hicho na kuhamia NCCR Mageuzi kisa anasema CDM kinaongozwa kindugu na kibaguzi kwani yeye alikuwa kati ya wabunge ishirini wa viti maalumu lakini jina lake likakatwa.
Mwenyekiti Mbowe shutuma hizi ni za kweli au za mfa maji?.
bado Zitto ,yaani huyu siku akiondoka ntalipia hata kikosi cha matarumbeta toka pale magomeni na wale wacheza vibao kata wamsindikize huko CCM
Kwenye Msafara wa Mamba na Kenge wapo.
Acha Kenge wote wajiondoe wenyewe mapema ili tubakie na (Mamba) wapiganaji wa ukweli wenye uchungu wa kuleta mabadiliko ya kweli.
Tatizo la huyu mama yetu alikariri kwamba yeye lazima ilikuwa awe mbunge wa viti maalumu kwa sababu tu alikuwa mwenyekiti wa BAWACHA kitaifa. Bahati mbaya kwake ni kwamba hatukuwa na kigezo specific cha kumlenga mwenyekiti wa bawacha au kiongozi yeyote mwingine. Katika vigezo tulivyotumia yeye aliangukia kwenye namba 29 kama inavyoonekana katika orodha hapa chini ya first 40 candidates.
Katika safari hii ya mapambano sio abiria wote watakaofika mwisho wa safari; wapo watakaoshukia njia-huyu ni mojawapo!!
1. Lucy Fidelis OwenyaOrodha ya wanaopendekezwa kuwa wabunge wa viti maalumu-CHADEMA
Orodha ya wanawake 40 wa juu
2. Esther Nicholas Matiko
3. Mhonga Said Ruhwanya
4. Anna MaryStella John Mallac
5. Halima James Mdee
6. Paulina Philipo Gekul
7. Conjesta Leos Rwamlaza
8. Susan Kiwanga
9. Grace Sindato Kiwelu
10. Susan Lyimo
11. Regia Mtema
12. Christowaja Mtinda
13. Anna Valerian Komu
14. Mwanamrisho Abama
15. Joyce Mukya
16. Leticia Mageni Nyerere
17. Naomi Kaihula
18. Chiku Abwao
19. Rose Kamil Sukum
20. Christina Lissu Mughiwa
21. Raya Ibrahim Hamisi
22. Philipa Geofrey Mturano
23. Mariam Salum Msabaha
24. Rachel Mashishanga Robert
25. Sabrina Hamza Sungura
26. Rebecca Michael Mngodo
27. Cecilia Daniel Pareso
28. Subira Shabani Waziri
29. Leticia Gati Musore
30. Helen John Kayanza
31. Rosana Osemu Chapita
32. Mona Shomary Bitakwate
33. Evarim Adrian Mpangama
34. Asha Sudi Kayumba
35. Hija Rashid Wazee
36. Mary James Martin
37. Sophia Hebron Mwakagenda
38. Bupe Odeni Kyambika
39. Magreth Thadei Mangowi
40. Esther Cyprian Daffi