TheOptimist
Member
- Jun 1, 2012
- 9
- 1
Chadema kuna mambo ya ukabila na undugu sana tu. Mke Tundu Lissu na Dr. Slaa wamepewa ubunge viti maalum. Lucy Owenya na binti wa Ndesamburo na Grace Kihwelu ni mkwe wake
Huyo atakuwa amepandikizwa kapata mrungura
Yaani hapa utasikia mengi, utasikia hata mjumbe wa chadema kijijini kahamia TLP NCCR yaani ilimradi katangazi watu wamesikia.
Mafisadi angaika CHADEMA ni cha kinachokubalika kwa watu