Kinyambiss
JF-Expert Member
- Dec 2, 2007
- 1,374
- 72
Chadema tic toc...
"Uongozi wa juu wa chama haukuwa ukinishirikisha katika maamuzi, haukuijali nafasi yangu kama mwenyekiti wa Baraza la wanawake kitaifa, ndo maana leo tr 22 Novemba, nimehamia NCCR-Mageuzi" Leticia Ghati Mosore
Safari ya kufa kwa Chadema imeanza.
Muda mfupi tulisikia M/Kiti Mbeya, sasa M/Kiti wanawake Taifa....more to follow.
Nilikuwa sahihi hata mimi kujitoa wiki iliyopita.
mwenye jibu zuri hapa atakuwa DR.MKUMBO kwani ndio alipewa kazi kama consultant kutengeneza vigezo viti maalum,atuambie kama huyu alikuwa kati ya ishirini kama anavyodai.
Mheshiwa Kitila Mkumbo ulaileyani,
Samahani nina kaswali kangu kadogo kuhusu huyu mama aliondoka CDM unaweza kuniambia alijiunga chamani lini? Na naomba pia unipe data hizo hizo kwa number 17. Naomi Kaihula mwalimu wangu wa CBE na 19. Mhe Rose Kamili.
Ningependa nijue vigezo vya kuwa rank hawa wakina mama maana kumbukumbu zangu zinaniambia mama Naomi alikuwa hana kabisa mambo ya siasa kwa miaka ya hivi karibuni na alikuwa akitufundisha CBE communication skills na development studies ila ameweza kuwa wa kumi na saba sambamba na Rose Kamili aliejiunga CDM karibuni.
Nitashukuru kwa majibu yako.
Songela sana......
aliye no.1 utampeleka wapi maswali mengine nayokwahiyo!, kwanini hakuwa wa kwanza?
Yaani katiba ya CHADEMA haina kipengele cha namna ya kuteua wabunge wa viti maalum hadi kazi anapewa consultant?
Tatizo la huyu mama yetu alikariri kwamba yeye lazima ilikuwa awe mbunge wa viti maalumu kwa sababu tu alikuwa mwenyekiti wa BAWACHA kitaifa. Bahati mbaya kwake ni kwamba hatukuwa na kigezo specific cha kumlenga mwenyekiti wa bawacha au kiongozi yeyote mwingine. Katika vigezo tulivyotumia yeye aliangukia kwenye namba 29 kama inavyoonekana katika orodha hapa chini ya first 40 candidates.
Katika safari hii ya mapambano sio abiria wote watakaofika mwisho wa safari; wapo watakaoshukia njia-huyu ni mojawapo!!
Orodha ya wanaopendekezwa kuwa wabunge wa viti maalumu-CHADEMA
Orodha ya wanawake 40 wa juu
1.Lucy Fidelis Owenya
2. Esther Nicholas Matiko
3. Mhonga Said Ruhwanya
4. Anna MaryStella John Mallac
5. Halima James Mdee
6. Paulina Philipo Gekul
7. Conjesta Leos Rwamlaza
8. Susan Kiwanga
9. Grace Sindato Kiwelu
10. Susan Lyimo
11. Regia Mtema
12. Christowaja Mtinda
13. Anna Valerian Komu
14. Mwanamrisho Abama
15. Joyce Mukya
16. Leticia Mageni Nyerere
17. Naomi Kaihula
18. Chiku Abwao
19. Rose Kamil Sukum
20. Christina Lissu Mughiwa
21. Raya Ibrahim Hamisi
22. Philipa Geofrey Mturano
23. Mariam Salum Msabaha
24. Rachel Mashishanga Robert
25. Sabrina Hamza Sungura
26. Rebecca Michael Mngodo
27. Cecilia Daniel Pareso
28. Subira Shabani Waziri
29. Leticia Gati Musore
30. Helen John Kayanza
31. Rosana Osemu Chapita
32. Mona Shomary Bitakwate
33. Evarim Adrian Mpangama
34. Asha Sudi Kayumba
35. Hija Rashid Wazee
36. Mary James Martin
37. Sophia Hebron Mwakagenda
38. Bupe Odeni Kyambika
39. Magreth Thadei Mangowi
40. Esther Cyprian Daffi
tusiwe hivi jamaniHuyo atakuwa amepandikizwa kapata mrungura
Yaani hapa utasikia mengi, utasikia hata mjumbe wa chadema kijijini kahamia TLP NCCR yaani ilimradi katangazi watu wamesikia.
Mafisadi angaika CHADEMA ni cha kinachokubalika kwa watu
"uongozi wa juu wa chama haukuwa ukinishirikisha katika maamuzi, haukuijali nafasi yangu kama mwenyekiti wa baraza la wanawake kitaifa, ndo maana leo tr 22 novemba, nimehamia nccr-mageuzi" leticia ghati mosore
vipi bana... hilo tawi la ccm (kafu) limekosa habari naona sasa hushindi kuchungulia CDM wanafanya nini... pole weee... kumbuka hata akina kambona walikimbia hadi nchi bana na CCM ikapeta, by then yalikua mageuzi... basi ndo hayohayo yanakujaHuyo ndio Mbowe, anaiendesha. Chadema kama anavyoendesha bilicanas, hakuna uadilifu wala demokrasia, u dictator mtindo mmoja.
Muda si mwingi redio Maria imeripoti kuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA Taifa amekihama chama hicho na kuhamia NCCR Mageuzi kisa anasema CDM kinaongozwa kindugu na kibaguzi kwani yeye alikuwa kati ya wabunge ishirini wa viti maalumu lakini jina lake likakatwa.
Mwenyekiti Mbowe shutuma hizi ni za kweli au za mfa maji?.
Muda si mwingi redio Maria imeripoti kuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA Taifa amekihama chama hicho na kuhamia NCCR Mageuzi kisa anasema CDM kinaongozwa kindugu na kibaguzi kwani yeye alikuwa kati ya wabunge ishirini wa viti maalumu lakini jina lake likakatwa.
Mwenyekiti Mbowe shutuma hizi ni za kweli au za mfa maji?.
vipi bana... hilo tawi la ccm (kafu) limekosa habari naona sasa hushindi kuchungulia CDM wanafanya nini... pole weee... kumbuka hata akina kambona walikimbia hadi nchi bana na CCM ikapeta, by then yalikua mageuzi... basi ndo hayohayo yanakuja
You cant stop the wind by whistling
Kwa hiyo siku zote alizokuepo Chadema ilikuwa pouwa, mpaka sekunde chache walipoacha jina lake kwene 'viti vya njugu' ndio akapata mwanga kuna ubaguzi...bwe he he he..halafu kwa wanasiasa wene uono finyu kama huyu ndio tutegemee kuigeuza nchi kuwa nchi ya maziwa na asali ..
Btw, hapo hakuna mwanasiasa, mwanasiasa wa kweli hahami kwa kukosa fursa ya mafao ya ubunge, hasira au chuki, bali huhama kufuata au kusimamia principles.