Let Zanzibar Go! - Kwanini Zanzibar hawahitaji kuwashawishi Watanganyika ili watoke kwenye Muungano

Nonda, mkuu ebu tazama picha hiyo hapo juu kisha utuambie kama kweli hao ni Magamba?.. Hawa ni wananchi wenye hasira na wenye kuitaka haki yao kwa nini nasi tusiwasikilize ikiwa tunawasikia watu wa Palestine au Burma..

Maadam tunawapa muda tosha ifikapo July mosi 2014 wawe tayari wameisha fanya maamuzi ya kura za maoni basi hatuna sababu ya kuendelea kulonga. Kazi kwao, badala ya kuandamana walivamie bunge lao kesho na kuomba kupiga kura za maoni kama walivyofanya mwaka 2010.

Viongozi wa serikali ya mseto kutoka CUF na CCM Zanzibar (baraza la Mapinduzi) wapeni wananchi wenu haki yao ya msingi, tena kama ikiwezekana nasi bara tuandamane kuwaunga mkono Wazanzibar ili wapewe ruksa ya haki yao kudai kuondoka ktk Muungano ifikapo July 1 2014.
Hawa jamaa waishie tu huko kwao. Na hii global warming threat, sijui wataenda wapi masikini kisiwa hicho kikifunikwa na maji. Poor Zanzibaris:coffee:
 
Zinedine
Bado nimelala..niko kwenye ndoto kuwa niko katika mikutano yetu na JUMIKI.:confused2:


Mkuu kama umesoma mchango wangu na kuelewa nimefanya masahihisho kidogo juu ya matumizi ya majina Tanzania na bara katika mchango wa Pasco.

Unasema:Kilichopo hapa ni :Let ZANZIBARI GO!

Why don't we let Zanzibar go?

Haiwezekani baada ya gazabu, hasira tulizonazo kuwaambia "pack and go!"

I would rather have the courage to say "GO!"

Kwa sababu gani hatu"opt" hii option? Hakuna mwenye uwezo/ujasiri katika viongozi,wabunge ,watendaji wa Tanganyika wa kusema" Zanzibar go!"

Nani ametoka usingizini? Zinadine au Nonda?

Kwa bahati mbaya Mijadala ya sasa imeanza/imeanzishwa juu ya dhana kuwa UAMSHO(waislamu wa Zanzibar) wamechoma makanisa. This was a false start kwa mijadala hii. Tumeingia mtego wa Magamba.

Nonda,

..kupinga muungano huku Tanganyika imekuwa kama mwiko vile.

..sasa sisi wananchi tunapaswa kuuvunja mwiko kwa kutamka waziwazi "LET ZNZ GO", viongozi watafuatia.

..mimi napendekeza muungano uvunjwe na Tanganyika na Zanzibar zishirikiane kupitia jumuiya za EAC na SADC.
 
Nonda, mkuu ebu tazama picha hiyo hapo juu kisha utuambie kama kweli hao ni Magamba?.. Hawa ni wananchi wenye hasira na wenye kuitaka haki yao kwa nini nasi tusiwasikilize ikiwa tunawasikia watu wa Palestine au Burma..

Maadam tunawapa muda tosha ifikapo July mosi 2014 wawe tayari wameisha fanya maamuzi ya kura za maoni basi hatuna sababu ya kuendelea kulonga. Kazi kwao, badala ya kuandamana walivamie bunge lao kesho na kuomba kupiga kura za maoni kama walivyofanya mwaka 2010.

Viongozi wa serikali ya mseto kutoka CUF na CCM Zanzibar (baraza la Mapinduzi) wapeni wananchi wenu haki yao ya msingi, tena kama ikiwezekana nasi bara tuandamane kuwaunga mkono Wazanzibar ili wapewe ruksa ya haki yao kudai kuondoka ktk Muungano ifikapo July 1 2014.
Mkuu Mkandara
pitia hii pia https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...alitarajia-kurudi-zanzibar-4.html#post4006558 halafu uunganishe dots na hiyo picha/ video.

Ni siku nyingi Zanzibar inataka Muungano ukarabatiwe; kero za Muungano zitatuliwe. Kila anayejaribu anaishia pabaya.
Mara hii baada ya Wazanzibari kukosa Sauti ya "mtetea" haki zao. CUF ndiyo ilishika bango la kukosoa na kudadisi muungano. CCM ya Zanzibar ni trela la CCM Chimwaga, ni bendera kufata upepo. Wakiambiwa Muungano ni mfumo wa Serikali mbili, wanaitikia, ndiyooo..wakiambiwa serikali mbili kuelekea moja, wanasema "ndioo".

Baada ya sauti za vinara wa CUF kupotea na ulipojitokeza "uchokozi" kuwa Muungano usijadiliwe uwepo wake au kutokuwepo kwake bali mjadala uwe juu ya kuboreshwa tu, Wazanzibar walioana sasa" janja" hii itawamaliza/ itawameza. Kama Tanganyika ilivyomezwa na Muungano.

Imeibuka sauti mpya huko, UAMSHO ambayo imejibebesha jukumu la kuwa msemaji au mpigania haki za Zanzibar. Ushahidi wa picha uliosema niutizame ni wazi kuwa UAMSHO wanakubalika huko. Lakini UAMSHO si chama cha siasa kama JF au Mwanakijiji kuwa si chama cha siasa lakini vikundi hivi vimekuwa chachu ya mjadala mpana/ wa kina juu Muungano.

Nilichotahadharisha mimi ni kuwa Mijadala iliyoibuka sasa hivi hapa JF imeanza/ imeanzishwa kwa kukurupuka ikibeba dhana kuwa UAMSHO ( waislamu wa Zanzibar) wamechoma makanisa.(Mtego wa magamba)

Hili naona ni kosa na linaondoa ladha ya mijadala yenyewe..pitia threads uone hilo. Ningependa sana tuwaunge mkono UAMSHO na wazanzibari katika kupigania haki na maslahi yao. Siku wakiridhika / wakijua kuwa haki katika Muungano inatendeka basi tutakuwa na Muungano wa Nchi, watu na jamii ambayo inafurahia matunda/ faida ya/za Muungano.

Leo watu wa Tanganyika wanaona Muungano hauna faida kwao na watu wa Zanzibar kama unavyowaona wanasema wananyonywa/ wanabinywa na kwa hiyo Muungano hauna faida kwao.

Nikukumbushie maneno ya Lissu.
Anaongeza kuwa vurugu hizo siyo za kidini kama wanavyodhani watu wengi bali ni njia iliyotumika kufikisha ujumbe wa walalamikaji.

“Ukristo wa bara ulitokea Zanzibar. Makanisa ya kwanza Afrika Mashariki na kati yalijengwa Zanzibar karibu na soko la watumwa. Baada ya Zanzibar ndiyo yakaja, Bagamoyo na Rabai na sehemu nyingine. Si suala la kidini, ni hoja za kujishikiza tu, kuna masuala ya msingi yanayovishwa hoja za kidini.”anasema Lissu.
link https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...alitarajia-kurudi-zanzibar-4.html#post4006894

Nafikiri ni vyema mijadala ya Muungano iwe mipana na ya uwazi na siyo kama hii inayoongozwa na hamasa au kuona upande mmoja ndio wenye dhima ya kuuvunja. Majadiliano ya wazi na ya kina yafikie uamuzi huo au vyenginevyo.

Sio vibaya kuwashawishi watawala kufungua mjadala rasmi wa wazi na mpana juu ya Muungano, hatima ya Muungano, Muundo wa Muungano au kugawana fito bila ya kutoboana macho au kutiana ulemavu. Hii iwe ndio chachu/ changamoto yetu. Au yafunguliwe majadiliano Rasmi katika ya pande mbili za Muungano kuujadili Muungano.(majadiliano na sio kuhojiwa staili ya Kolimba).
Ichaguliwe timu ya Tanganyika na timu ya Zanzibar zikae mkao wa kula, majadiliano ya wazi ili wananchi waelewe nini kinajadiliwa isiwe kama walivyofanya Nyerere na Karume

Lugha za kutishana, ubabe, ufedhuli au kujifanya "Sheik Yahya" /utabiri wa nini kitatokea baada ya kuvunjika Muungano hazitaendesha mjadala wa Muungano na kufikia hitimisho la nini tunakutaka juu ya muungano huu wa Kero.

Bado Muungano wa Tangayika na Zanzibar umegubikwa na usiri mkubwa(mazinagombwe/kiini macho). Tufungue Pandora box ya Muungano!
 
Safari hii tutawaonesha njia zote za kuweza kutoka kwenye Muungano ili waaache mihadhara na makongamano yenye kukwepa kutoka kwenye Muungano.

mkuu kuna kitu kimoja hujakiweka hapa. Ni wazi ya kuwa sote Tanganyika na Zanzibar hatutaki muungano wa serikali mbili! We, both, have a common enemy CCM! Tafakari
 
mkuu kuna kitu kimoja hujakiweka hapa. Ni wazi ya kuwa sote Tanganyika na Zanzibar hatutaki muungano wa serikali mbili! We, both, have a common enemy CCM! Tafakari
No thank you Sir! Hakuna cha serikali mbili, tatu, mkataba au ushirikiano maalumu. Tunachotaka tukutane na ndugu zetu Wazanzibar SADC, COMESA, OAU, SOUTH SOUTH, EAC, GREAT LAKES, MARITIME, FIFA, IOC (Olympic).

Sasa ni LET ZANZIBAR GO!
Ikifika July 1 2012 kama hawajafanya maamuzi tutawauliza huko maofisini, mitaani , vyuoni n.k.
Tutawaambia, acheni Watanganyika wahangaike na nchi yao, rejeeni Zanzibar hatuhitaji wataalam au wawekezaji. Tuna mamia ya vijana wetu wanasota wakisaga lami nafasi zao zikiwa zimebebwa na Wananchi wa Zanzibar.

Kwa vile ilikuwa ni marufuku Mtanganyika kupata ajira, hili hatutalifanya siri. Tutaliweka wazi katika kampeni
Kwa vile mtanganyika hapati ardhi visiwani, hili halitakuwa siri tutawaambia usoni ninyi mnapataje?
Kwa vile Mtanganyika atanunua 'mafuta; ya kufikirika, Tutauliza kwanini Mpogoro na Mnyamwezi walipie watu umeme
Kwa vile Mtanganyika atalazimika kwenda visiwani na Pasport, tutahitaji kuona ya Mzanzibar
Kwa vile Mtanganyika ananyimwa nafasi kwasababu ya nafasi za upendeleo, tutawaomba wazbar waende SUZ
Kwa vile Mtanganyika atalipa kodi ya kupeleka viazi, tutauliza kodi za bidhaa kutoka Zanzibar ziko wapi
Tutahoji kwanini Mmakonde alipe kodi ya kumsomesha Mzbar bure kuanzia chekechea hadi chuo kikuu na ajira juu!

LET ZANZIBAR GO! LET THEM GO ASAP
Waambie majirani, rafiki na nduguyo kuwa Wazanzibar wantakiwa waondoke mapema.
 
yaani umeandika upuuzi mtupuuuuu yaani kama ni mtihani bac 0+++=000000000000000000000, unajua watz wengi ni wajinga hawajui haki zao linapo kuja swala la kudai haki zao watawala ni rahisi sana kubadili upepo hoja sio nani ananufaika na muungano nani hanufaiki wananchi wa znz wanataka mabadiliko ya mfumo wa muungano wameona mfumo uliokuwepo hauna faida kwao je ni kosa kisheria? wanataka kura ya maoni iitishwe ili tusipoteze pesa na muda kuwalazimisha watu kuunda katiba wakati muungano wenyewe haupo kisheria kwa ujinga wetu watz maendeleo tutaendelea kuyaona kwenye tv tu aibu tupu

Unajua unachokiandika kweli au umekurupuka kwenye pombe mnazokunywa mmejificha, hapa Mwanakijiji anawasaidia namna rahisi tu ya kuondoka na Zanzibar yenu. Bara huku mmjeaa hadi vijijini leo mnajinyenyea tu ooooh hatutaki muungano, ebu ondokeni nasi huku bara tupumzike kila siku kelele tu utadhani kuna tunachofaidi kwenu, ni wabara wangapi ambao ni mama/baba ntilie huko Zanzibar, ardhi huku bara mnajichukulia tu.

Zanzibar iondoke jamani tupumzike
 
Kwa muda mrefu wamekuwa wakituona kama mazoba fulani hivi; wanatututakana tunacheka, wanatushutumu tunatabasamu na sasa wamefika mahali kutuita wakoloni na bado tunafikiri mzaha. Sasa hivi hatukubali tena; njia ya tatu ya kuwasaidia kutoka itakuwa ni kuanza kushakizia serikali moja ya Muungano; hatutaki mbili wala tatu. Tunajua Wazanzibar hawawezi kukubali serikali moja... itabidi watoke! kama wenyewe hawawezi kutoka tutawasaidia kiaina kwa sababu watawala wetu wameshindwa kuutetea Muungano, wameshindwa kujibu tuhuma za kipuuzi.
 
Mkuu Mkandara
pitia hii pia https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/272807-video-sultani-wa-zanzibar-alivyofurahia-mauaji-ya-karume%3B-alitarajia-kurudi-zanzibar-4.html#post4006558 halafu uunganishe dots na hiyo picha/ video.

Ni siku nyingi Zanzibar inataka Muungano ukarabatiwe; kero za Muungano zitatuliwe. Kila anayejaribu anaishia pabaya.
Mara hii baada ya Wazanzibari kukosa Sauti ya "mtetea" haki zao. CUF ndiyo ilishika bango la kukosoa na kudadisi muungano. CCM ya Zanzibar ni trela la CCM Chimwaga, ni bendera kufata upepo. Wakiambiwa Muungano ni mfumo wa Serikali mbili, wanaitikia, ndiyooo..wakiambiwa serikali mbili kuelekea moja, wanasema "ndioo".

Baada ya sauti za vinara wa CUF kupotea na ulipojitokeza "uchokozi" kuwa Muungano usijadiliwe uwepo wake au kutokuwepo kwake bali mjadala uwe juu ya kuboreshwa tu, Wazanzibar walioana sasa" janja" hii itawamaliza/ itawameza. Kama Tanganyika ilivyomezwa na Muungano.

Imeibuka sauti mpya huko, UAMSHO ambayo imejibebesha jukumu la kuwa msemaji au mpigania haki za Zanzibar. Ushahidi wa picha uliosema niutizame ni wazi kuwa UAMSHO wanakubalika huko. Lakini UAMSHO si chama cha siasa kama JF au Mwanakijiji kuwa si chama cha siasa lakini vikundi hivi vimekuwa chachu ya mjadala mpana/ wa kina juu Muungano.

Nilichotahadharisha mimi ni kuwa Mijadala iliyoibuka sasa hivi hapa JF imeanza/ imeanzishwa kwa kukurupuka ikibeba dhana kuwa UAMSHO ( waislamu wa Zanzibar) wamechoma makanisa.(Mtego wa magamba)

Hili naona ni kosa na linaondoa ladha ya mijadala yenyewe..pitia threads uone hilo. Ningependa sana tuwaunge mkono UAMSHO na wazanzibari katika kupigania haki na maslahi yao. Siku wakiridhika / wakijua kuwa haki katika Muungano inatendeka basi tutakuwa na Muungano wa Nchi, watu na jamii ambayo inafurahia matunda/ faida ya/za Muungano.

Leo watu wa Tanganyika wanaona Muungano hauna faida kwao na watu wa Zanzibar kama unavyowaona wanasema wananyonywa/ wanabinywa na kwa hiyo Muungano hauna faida kwao.

Nikukumbushie maneno ya Lissu.
Anaongeza kuwa vurugu hizo siyo za kidini kama wanavyodhani watu wengi bali ni njia iliyotumika kufikisha ujumbe wa walalamikaji.

"Ukristo wa bara ulitokea Zanzibar. Makanisa ya kwanza Afrika Mashariki na kati yalijengwa Zanzibar karibu na soko la watumwa. Baada ya Zanzibar ndiyo yakaja, Bagamoyo na Rabai na sehemu nyingine. Si suala la kidini, ni hoja za kujishikiza tu, kuna masuala ya msingi yanayovishwa hoja za kidini."anasema Lissu.
link https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...alitarajia-kurudi-zanzibar-4.html#post4006894

Nafikiri ni vyema mijadala ya Muungano iwe mipana na ya uwazi na siyo kama hii inayoongozwa na hamasa au kuona upande mmoja ndio wenye dhima ya kuuvunja. Majadiliano ya wazi na ya kina yafikie uamuzi huo au vyenginevyo.

Sio vibaya kuwashawishi watawala kufungua mjadala rasmi wa wazi na mpana juu ya Muungano, hatima ya Muungano, Muundo wa Muungano au kugawana fito bila ya kutoboana macho au kutiana ulemavu
. Hii iwe ndio chachu/ changamoto yetu. Au yafunguliwe majadiliano Rasmi katika ya pande mbili za Muungano kuujadili Muungano.(majadiliano na sio kuhojiwa staili ya Kolimba).
Ichaguliwe timu ya Tanganyika na timu ya Zanzibar zikae mkao wa kula, majadiliano ya wazi ili wananchi waelewe nini kinajadiliwa isiwe kama walivyofanya Nyerere na Karume

Lugha za kutishana, ubabe, ufedhuli au kujifanya "Sheik Yahya" /utabiri wa nini kitatokea baada ya kuvunjika Muungano hazitaendesha mjadala wa Muungano na kufikia hitimisho la nini tunakutaka juu ya muungano huu wa Kero.

Bado Muungano wa Tangayika na Zanzibar umegubikwa na usiri mkubwa(mazinagombwe/kiini macho). Tufungue Pandora box ya Muungano!

Mkuu,
Asante kwa contribution yako nzuri ingawa ina mapungufu mengi ambayo huenda yamesababishwa na kutokuwa part ya Siasa za Tanzania badala yake umekuwa mshabiki tu wa nje. Mimi nilianza kuzifahamu Siasa za Zanzibar tokea mapema miaka ya sabini nilipopata fahamu za kunitosha. Nilizaliwa Zanzibar kwa mchanganyiko wa Babu Muunguja na bibi kutoka Tanga so sina nisilolijua kuhusu Zanzibar na na madhila yake [Ila mimi ni MTANZANIA, si Mtanganyika wala si mzanzibari; ndivyo nilivyojaza katika maelezo yangu yoooote katika dunia hii hususa ya ki-skuli kuanzia primary hadi postgraduates]. Kwanza nakiri kuwa hapana jambo ambalo halina mitihani yake so muunggano pia una mitihani yake.
2. Zanzibar kuna matatizo mengi tu na Muungano just umebeba sehemu ndogo tu ya matatizo yaliyoko Zanzibar tofauti na wengi wanavyoaminishwa hususan kupitia Mihadhara ya JUMIKI
3. Miye nasapoti Muungano ufe siyo kwa sababu sitaathirika, la hasha nitaathirika kwa sababu ni ukweli kwamba nimewekeza zaidi Tanganyika na hasa Tanga ambapo imetokea Mama angu ni mtoto pekee kwao na hivyo kuwa na hazina kubwa ya mapori yaliyoachwa na babu(Nimefanya investments za kufa mtu katika mashamba hayo kiasi kwamba imekuwa rahisi hata kusomesha wanangu maeneo mbalimbali duniani-Alhamdulillah!), bali ni kwasababu nimeangalia video za JUMIKI na nilihudhuria baadhi ya Mikutano yao ya pale Lumumba, nilichokiona ni matusi, kejeli na upotoshaji. Hivi ni kweli Nonda kuwa kuharibika kwa maadili ya Zanzibar kunasababishwa na Muungano; je ni Zanzibar tu iliyoharibika, naamini ushafika nchi nyingi pia za kiarabu, laiti kama isingelikuwa utamaduni wa nchi hizo kuvaa mabaibui bac ungelishangaa sana.
Tatizo la Zanzibar ni wizi mkubwa unaofanywa na Viongozi then pesa zimezamishwa katika majengo yaliopo Zanzibar na nje ya Zanzibar so yamepunuza mzunguko wa fedha na productivity, sio muungano kama wanavygotuamgigngigsha. Zanzibar ina Bajeti yake inayoamini inafaa kwa kipindi husika, na ZRB always wanatangaza kukusanya overestimate, sasa malalamiko kuwa Bara inachukua mapato yake yanatoka wapi na wanayachukuaje? huoni watu wanaongopegwa hapa? Na huyo mwizi mbaona hatuoni anachofanya bac, au na yeye ananyonywa na Zanzibar?
Kuna mama analalmika kuwa watoto wake hawajasoma so hawana kazi sasa hapo Muungano unahusikaje na Elimu Zanzibar imetolewa bure muda mrefu tu, na naamini mpaka sasa mtu anaweza kusoma kuanzia std I hadi form Six kwa less than 300,000(accumulated figure)? Mtu analalamika mahospitalini wanazalishwa na wanaume, Je Muungano unahusikaje yarrabb? Kuhusu hilo pendekezo lako la kuepo timu ya kujadili Muungano, siamini kama tumeshakaa muda mrefu tu na nilibahatika ku-attend vikao kadhaa kabla sijaanza kuwa mjasiriamali, baadhi ya hoja hazina mantiki. Kwa mfano mtu anapodai quota system ya wazanzibari kuajiriwa katika Taasisi za Muungano, hivi amefanya utafiti kujua Idadi ya Wazanzibari walioko katika Taasisi zisizo za Muungano ni kiasi gani? Pia hili hawajui? Nonda, movement ya watu sometimes ina-determine Economic/productive activities ya watu hao, sasa nenda pale Bandarini unguja au Dar ukafanye utafiti ujue ni kundi gani la watu linalovuka sana baina ya Watanganyika na Wazanzibari katika kila chombo kimoja cha usafiri? na ikibidi waulize sababu za kuvuka kwao ni nini? ndo utajua ni aikina nani wana-benefit na Muungano.
Na je JUMIKI wanatafsiri vitabu gani vya Dini vinavyofundisha yale? Kama umeangalia video za JUMIKI hujaona baadhi ya vijana wanaomba amri kutoka JUMIKI ya kujitoa mhanga na wana JUMIKI wanafurahia na kusema Mashaallah? Sasa wawezaje kutohusisha vurugu zile na JUMIKI? utawatoaje JUMIKI, yes, nawaheshimu sana mashekh wa JUMIKI kwani baadhi ni waalimu wangu wa Madrasa na wana elimu kubwa tu ya Dini hata ya Dunia, lakini wanaitumia isivyo kwa kiasi flani.
Ndo MM akaja na hoja kuwa Wazanzibari hawana haja ya kuwatukana watanganyika wala kuwalaumu viongozi wa Tanganyika bali viongozi wao ndo wenye majibu ya Muungano huu kama walivyowachagua kuwa watawatimizia matakwa yao
LET ZANZIBARI GO!
 
Pasco, JF ikinyooshewa kidole nitashangaa sana! wale wa UAMSHO waliochoma hadi nyumba za ibada hakuna aliyeshtakiwa kwa uhaini. Mzalendo.net si tu wanatoa maoni bali wana video unazopaswa kuziangalia watoto wakiwa wamelala. Ni matusi kashfa tuhuma n.k

Tutauliza kama JF inachochea na ni uhaini,basi Jussa alitakiwa awe katika kifungo cha maisha n.k

Naunga hoja mkono

Let Zanzibar go, if possible July 1 2012

Uamsho hawata shitakiwa kwa uhaini, waliochoma makanisa ni polisi na usalama wa taifa...Baadhi ya raia wema wamesema watatoa ushahidi... Sio muda mrefu ,wataumbuliwa .
 
Ningependa Muungano uvunjike lakini hapa tulipofikia siyo rahisi hivyo kuuvunja (both side have so much to loose) kama ulivyo orodhesha watu wenye madaraka ya juu, wafanyabiashara, watu wa kawaida wa pande zote watakavyoadhirika (We have created a monster)
Pamoja na kwamba umewasema Wazinzibari walioko Tanganyika ambao wanajishughulisha katika mambo mbalimbali nashindwa kufikili adhari itakayowapata Watanganyika walioko Zanzibar katika shughuri za kimaisha.

Mzee Mwanakijiji, nafikili unalijua hilo na mapendekezo yako nafikili unajua hayawezekani hata kidogo kwa vile binadamu wa sasa wamejawa na ubinafsi. Hata hawa wana Uamusho ni ubinafsi ndiyo unawafanya waseme wanayoyasema.

Sioni yoyote atakayeachia madaraka na biashara zake zinazompatia faida kubwa na kurudi Zanzibar, may be by force.
 
Zinedine,
Post yako #89 imejaa hekima ambazo Wazanzibar wengi hawazioni.

Malalamiko ya wzbar mengine yanatia kichefu chefu. NiwAkumbushe tu kuwa, SMZ haina bajeti ya Ulinzi wa ndani na nje, Elimu ya Juu kwa uchache wa kusema.
Mzigo huo unabebwa na Mtanzania bara kwasababu Zbar inachangia 0 katika muungano! I mean Zero!

Marais wastaafu wa Zbar wanahudumia na kodi za bara. Kiongozi au mfanyakazi wa ngazi yoyote ile aliyewahi kufanya kazi bara huyo ni tegemezi kwa bara daima. Gharama zote hizo zinabebwa na mbara

Inauma mbara alipe kodi ya umeme, ya kumsomesha mzbar chuo kikuu tena kwa nafasi za upendeleo, apate ajira za upendeleo, astaafu na kulipwa marupu rupu yote na mlipa kodi yule yule anayetukanwa kama kafir, chogo n.k

Anyway, Nonda anasema kuundwe kamati kuangalia muungano. UAMSHO hawataki muungano, ndiyo maana muungano ukitajwa wanasema 'laana ya mwenyezi mungu' akitajwa Nyerere 'Laana ya mwenyezi mungu' akitajwa Karume, Jumbe, Mwinyi, Wakili, Amour, Karume JR, Shein hutasikia hata kikohozi. Kamati ya nini Nonda? Maskeikh wa UAMSHO waliobobea katika dini, fitna na majungu weshasema hawataki muungano. Wewe unataka kamati si utakuwa kafir kama Mtanganyika!

Nonda, unataka kamati ya nini wakati Zbar ilibadilisha katiba bila kamati, imeunda Baraza la mitihani bila kamati, imeunda GNU bila kamati, imefika mahali katiba JMT inasema waziri kiongozi, ya Zbar inasema makam wa rais na hakukuwa na kamati. Hili la muungano unataka kamati ya nini? kuuliza kama wazanzibar wanataka muungano wakati jibu la SMZ ni lile la UAMSHO!

LET ZBAR GO! hatuhitaji majadiliano, tumejitoa sana kwa Zbar kunusuru muungano.
Muda wa kutumia rasilimali za bara kwa ujira wa kuchomwa moto na matusi umekwisha.

Hakuna serikali 3 kwasababu Zbar haiwezi kulipa hata robo ya gharama!
Hakuna mkataba kwasababu Tanganyika haitafaidika na chochote kutoka Zbar

Tunajua, wanataka majadiliano ili yale yanayowahusu yawe ya muungano.
The time is up, pack and go!
Visit us as others do! Na jinsi inavyochelewa ndivyo Wabara wanavyopata hasira!
Tutaweka wazi kila kitu

Zanzibar offers 0, LET THEM GO

LET ZBAR GO, GO NOW, IF POSSIBLE JULY 1 2012.
 
NN, unadhani basi hata umeuchoka Muungano? I bet kilichokuchosha ni manung'uniko yasiyokoma ya Wazanzibari. You are fed up with unending cries of oppression and exploitation kiasi kwamba unajisikia vibaya kuonekana unawaonewa Wazanzibar kama Mtanganyika so unasema bora waende zao tu "tumechoka kulalamikiwa"... Kwa sababu Zanzibar kwa Tanganyika ni kama kupe mwenye kumlalamikia ng'ombe!!! kila kukicha anatishia kudondoka na kuondoka ili amkomoe ng'ombe ati kwa vile ng'ombe hatoi damu ya kutosha!!

Mwanakijiji lakini hata Nyerere si alikwisha sema wamechoshwa na wazazibar na Uisilamu au hujamsikiapo akisema hivyo? wewe ni mwingi wakutafuta yalio jificha sasa fatilia hotuba hiyo ya Nyerere aliyosema wamechwa na wazanzibar na Uisilamu cha kujiuliza hapa hivi nyerere alikuwa hajuwi (elewa ) kama alikuwa anaungana na watu amabo wengi wao ni waisilamu ?Dini ambayo yeye mwenye kinaga ubaga bila ya kumungunya maneno amedhihirisha anaichukia.jengine Mwanakijiji nikulize hivi waTanzania wangapi wanaishi USA ,Uk Canada,Sweden,Denmark Ausralia Nk na wengi wao wamesha zaliana na wenyeji wa nchi hizo sasa kuishi kwao huko kunatokana na Mungano au sheria za nchi hizo kuwakubalia kuishi?hapa Tz kuna wachina ,wakenya ,waganda nk tumeungana nao hao?au iwe wazanzibar tu ukivunjika Mungano ndio iwe tatizo sasa na hawa waliopo hapa Zanzibar mtawamrisha pia warudi huko mrima?
 
Uamsho hawata shitakiwa kwa uhaini, waliochoma makanisa ni polisi na usalama wa taifa...Baadhi ya raia wema wamesema watatoa ushahidi... Sio muda mrefu ,wataumbuliwa .
Raia atakayetoa ushahidi si yule aliyekuwepo katika mkutano wa UAMSHO!

Kwani Takashi hii ni mara ya kwanza? Mbona imetokea mara 25? SMZ wanajua na UAMSHO wanajua na hawana kauli juu ya hili. Msiwatetee hawa Alshaabab!

UAMSHO wanachafua dini, wanaeneza chuki, fitna na majungu. Nashangaa wanaita wengine Makafir! Hivi kuna ukafiri zaidi ya kuchoma moto jengo lenye watu na mali! Usipake rangi ushenzi, ushenzi ni ushenzi tu!
 
Mjumbe una hasira kunizidi wewe,
Hawa zanzibar ni sawa na mwanamke wa kikurya ukimpenda sana bila kumdunda huwa anaona hum,pendi na anaweza kukushitaki kwa mjumbe wa nyumba kumi kwa kosa la kutompiga
 
Mwanakijiji lakini hata Nyerere si alikwisha sema wamechoshwa na wazazibar na Uisilamu au hujamsikiapo akisema hivyo? wewe ni mwingi wakutafuta yalio jificha sasa fatilia hotuba hiyo ya Nyerere aliyosema wamechwa na wazanzibar na Uisilamu cha kujiuliza hapa hivi nyerere alikuwa hajuwi (elewa ) kama alikuwa anaungana na watu amabo wengi wao ni waisilamu ?Dini ambayo yeye mwenye kinaga ubaga bila ya kumungunya maneno amedhihirisha anaichukia.jengine Mwanakijiji nikulize hivi waTanzania wangapi wanaishi USA ,Uk Canada,Sweden,Denmark Ausralia Nk na wengi wao wamesha zaliana na wenyeji wa nchi hizo sasa kuishi kwao huko kunatokana na Mungano au sheria za nchi hizo kuwakubalia kuishi?hapa Tz kuna wachina ,wakenya ,waganda nk tumeungana nao hao?au iwe wazanzibar tu ukivunjika Mungano ndio iwe tatizo sasa na hawa waliopo hapa Zanzibar mtawamrisha pia warudi huko mrima?

Babylon,

..wa-Znz wanavyoishi sasa hivi ktk ardhi ya Tanganyika si sawa na wa-Tanzania wanavyoishi USA,UK,Canada etc etc.

..ninavyoelewa mimi ni kwamba ukiwa kwenye nchi za watu hata kupanga nyumba lazima uonyeshe documentation ikiwemo status yako ya Uhamiaji.

..sasa ni lini Mzanzibari ameulizwa kitambulisho anapokuwa ktk ardhi ya Tanganyika?? Ni lini Mzanzibari amechomewa moto biashara yake? Ni lini Misikiti ya Wazanzibari imechomwa moto huku Tanganyika? Ni lini wa-Tanganyika wamewatuhumu wa-Zanzibar mbele ya viongozi wa Dini kwamba wanaleta mila na tamaduni chafu kama inavyofanyika ktk mikutano ya Uamsho.

..Kwa kweli wa-Tanganyika ni watu wavumilivu sana. Wazanzibari hamruhusu wa-Tanganyika kushiriki mijadala kuanzia Zanzinet.org mpaka mzalendo.net. Sijapata kusikia wa-Tanganyika wakiwatenga wa-Zanzibari ktk forums zao kuanzia Tanzanet mpaka sasa jamiiforums,michuzi.blog, mjengwa.blog, etc etc.
 
Mwanakijiji lakini hata Nyerere si alikwisha sema wamechoshwa na wazazibar na Uisilamu au hujamsikiapo akisema hivyo? wewe ni mwingi wakutafuta yalio jificha sasa fatilia hotuba hiyo ya Nyerere aliyosema wamechwa na wazanzibar na Uisilamu cha kujiuliza hapa hivi nyerere alikuwa hajuwi (elewa ) kama alikuwa anaungana na watu amabo wengi wao ni waisilamu ?Dini ambayo yeye mwenye kinaga ubaga bila ya kumungunya maneno amedhihirisha anaichukia.jengine Mwanakijiji nikulize hivi waTanzania wangapi wanaishi USA ,Uk Canada,Sweden,Denmark Ausralia Nk na wengi wao wamesha zaliana na wenyeji wa nchi hizo sasa kuishi kwao huko kunatokana na Mungano au sheria za nchi hizo kuwakubalia kuishi?hapa Tz kuna wachina ,wakenya ,waganda nk tumeungana nao hao?au iwe wazanzibar tu ukivunjika Mungano ndio iwe tatizo sasa na hawa waliopo hapa Zanzibar mtawamrisha pia warudi huko mrima?
Tatizo nyie mmeonyesha chuki na ubaguzi wa hali ya juu, mmeonyesha kuwa hamtupendi wabara na kwa kuonyesha hivyo mmechoma makanisana na maduka ya wabara na mmesema kabisa hamtutaki makafiri huko kwenu hivyo basi itabidi iwe jino kwa jino, sie tutatoka kwenye hako kakisiwa kenu na nyie muondoke haraka sana huku bara kwa sababu hatutaki tena kelele zenu. kwa kifupi tumewachoka, huwezi kusihi na mke mwenye gubu ana nungunika kila siku hata umpe nini yeye analalamika tu au mnataka tuwalishe kwa kijiko muwe mmekaa tu? hiyo hoja ya raia wengine haifanani na yenu sababu hao wengine wao ukienda kwao hawakubagui na wanakuacha uabudu utakavyo. jitengeni na muone hayo mafriji yenu mabovu mnayotoa UK mtayauza wapi
 
Mzee Mwanakijiji,
Nitakwambia haswa shiriki za kihisia zilizowakumba Wazanzibar...Na naweza sema ni swala la kiasili ambalo limetokana na utamaduni wetu pale ambapo imetumika hata ktk ndoa zetu hivyo kuwafanya Wazanzibar waishi ktk maisha ya What if?...


Ni kwamba zamani ktk ndoa zetu mwanamke akiolewa huchukuliwa kama chombo cha kutotoa watoto, kulea na kutunza nyumba lakini mwenye jina na familia na mali zote ni baba. Na ilitokea hata wakati baba amefariki basi urithi huchukuliwa na wanandugu wa Baba, na kumwacha mke arudi kwao hana kitu, hivyo ktk fikra za utamaduni huu mchafu wanawake wengi siku hizi hutazama kwanza maslahi yao. hata ktk mahari ya ya ndoa tu, huomba wajengewe nyumba, wafunguliwe biashara, wengine wakitazama utajiri wa bwana yote haya ni katika kujilinda wao na nasaba yao.- kule kwa baba na mama zao.

Wapo wengine huwaibia waume zao fedha ama kuficha baadhi ya mapato na matumizi ili apate kujijenga kwao kwa sababu mke huyu huishi kwa fikra za What if mmewe akimwacha atabakia na kitu gani? hufikiria kwamba ndoa yoyote haina guarantee ya kudumu hivyo lazima ajiandae yeye kuachika na familia yake ni kwa baba na mama yake sii mume. Na ktk utekelezaji wa fikra hizi utakuta familia haiwezi kuendelea kwa sababu Ufisadi unatoka ndani na NDIVYO TULIVYO.

Hivyo Wazanzibar kwa fikra zao wanataka bara tuwajengee makwao (tupeleke maendeleo Zanzibar), tuwafikirie wao kana kwamba ipo siku Muungano huu utavunjika na wao hawatakuwa wamepata kitu isipokuwa Bara ambayo imejijengea jina la ubwana. Na ukisikia vilio vyao kwa makini utagundua ni tamaa ya fikra za What if, maana wanazungumzia vitu visivyokuwepo leo, sijui Mafuta yasiwe ya Muungano lakini wanatumia Umeme wa bara bure wakati ni ktk wizara zile zile wasizotaka ziwe ktk muungano. Kifupi ni madai ya mke alopata kazi hataki kuchangia ktk matumizi ya familia kwa madai ya kwamba wewe sii mume kazi yako nini?..mbona wataka hata fedha za mke kuiendesha familia hapo wakimwona mume sii mwana familia ila mtu wa nje alokaribishwa ktk familia - Ni asili ya Wangazija na watu wa Pwani!

Umeongea kweli,
Na kingine nafikiri kinachowachanganya hadi wafikilie kunyonywa ni kuwa wakati wa enzi zile zanzibar ilikuwa mbele zaidi ya DAR kama ilivyokuwa Bagamoyo. Lakini leo DAR imeicha zanzibar hivyo wanafikiri bila ukoloni huuu wa tanganyika kuivamia zanzibar basi wangekuwa mbele zaidi ya DAR.

Lakini nafikiri wanachoshindwa kuchanganua ni kuwa wakati huo zanzibar ilikuwa na bidhaa mhimu kwa dunia yani:
1: Watumwa
2: Karafuu
3: Nazi
Leo hii, bidhaa hizi sio mhimu tena, na ndio maana uchumi haueleweki tena, bandari haina meli nyingi kama wakati wa bidhaa tajwa hapo juu. Lakini wao wanafikiri wabara ndo wameua bandari yao, na hawafikiri hizo bidhaa sio mhimu tena leo na ndio maana bandari yao inaelekea kuzimu na uchumi pia.

Wengine wanasema wakati bandari ya zanzibar ilikuwa mhimu na busy kuliko DUBAI yawezekana ni kweli, lakini nafikiri wanachoshindwa kuona ni kuwa wakati huo dubai haikuwa na bidhaa tajwa hapo juu lakini leo dubai inabidhaa mhimu ktk dunia hii ya leo MAFUTA.

Kama wanaona tanganyika sio ndugu zao, basi wageuke upande wa pili waangalie ndugu zao wa-COMMORO -WANGAZIJA je wameenda mbali kuliko wao kwa sababu hawako kwa muungano?
 
Ndugu yangu Kwamwewe, uhalifu wa kuchoma moto umetokea mara 25. Siyo SMZ au UAMSHO wanaokanusha.
Watanganyika wamechomwa moto na wahalifu wameachiwa huru.
Hili la kuchoma moto linatokana na uchochezi wa lugha za 'Wakristo na muungano'
Ni mwendawzaimu peke yake atakayesikiliza hadithi za 'Alshabaab' za kukanusha upuuzi.

Huko tumeshatoka na sasa tunasema
Let Zanzibar Go!

Tuna vijana wetu kwa maelfu sasa wanjipanga kuchukua nafasi zao halali ndani ya nchi yao siku Wazanzibar watakapobeba mizigo.

Wazaznzibar walikuja na mabegi na wanapaswa kuondoka na mabegi na Watanganyika pia walioko huko wataondoka na mabegi. Hakuna Mzanzibar aliyekuja na nyumba au ardhi.

Let Zanzibar go sasa haina kurudi nyuma.
Hakuna serikali 3, mkataba wala ushirikiano. Ushirikiano ni kama ule wa Kenya au Malawi

It is time, we're tired. Let Zanzibar go!
The mantra should be Let Zanzibar go.

wacha kuleta fitina za kanisa , makanisa yamechomwa na hao mafia ya kanisa

Mihadhara imefanyika zaidi ya mara 100 na hakuna kanisa lilochomwa !!! mbona hayajachomwa makanisa ya Katoliki na anglikana

Ujue hapa kuna kitendawili kikubwa sana ,

wacha uamsho wakuamshe vizuri , UADUI UNAJENGWA NA KANISA NA MAGAZETI YAKE KAMA HUU UNAOUANDIKA HAPA

KWANI KUNA UBAYA GANI KWA WAZANZIBARI KUOMBA KUJITOA KATIKA MUUNGANO???

TUNAAMBIWA MUUNGANO ULIFANYWA KWA RIDHAA YA NCHI 2, KWA NINI IKIWA SEHEMU MOJA INATAKA KUJITOA KWA RIDHAA HIVYO HIVYO IWE NONGWA???


ELIMIKA HAPA MUHADHARA UAMSHO - PWANI MCHANGANI - YouTube
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom