Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Walipe na lile deni la umeme walilosamehewa
Pasco, JF ikinyooshewa kidole nitashangaa sana! wale wa UAMSHO waliochoma hadi nyumba za ibada hakuna aliyeshtakiwa kwa uhaini. Mzalendo.net si tu wanatoa maoni bali wana video unazopaswa kuziangalia watoto wakiwa wamelala. Ni matusi kashfa tuhuma n.k
Tutauliza kama JF inachochea na ni uhaini,basi Jussa alitakiwa awe katika kifungo cha maisha n.k
Naunga hoja mkono
Let Zanzibar go, if possible July 1 2012
Pasco, Muungano uliridhiwa Zanzibar kama ulivyoridhiwa Tanganyika na vyombo halali vilivyokuwa na uwezo wa kufanya hivyo na ambavo bado vipo. Wanaosema kwamba Muungano haukuridhiwa Zanzibar wanaandika historia upya; hawajui historia na hawataki kuijua. Na Wazanzibari wengi hawajui kuwa muungano uliridhiwa kihalali kabisa. Ndio maana wengine tunaona huo muda wa kuwafundisha watu historia hatuna; kama wanataka kuondoka wafunge mizigo, mapakacha na waende; kuna mamia ya Watanganyika walio tayari kushika nafasi zao ambazo wanazishikilia bara.
Let Zanzibar GO! GO Go. Zanzibar!
Unfortumetelly though, who is a Zanzibari?
ya wazanzibar wenye asili ya mwarabu au watu weusi kama watanganyika? We unaonaje?
nyie uzao wa watumwa ebu pumzikeni sasa, kila siku kelele tu!!. Dunia gani itakayowasikia nyie, hivi mnadhani zanzibar huko nje wanaitambua kuwa ni nchi? Hata mkiandamana nchi za nje wanajua kuwa kitongoji kimojawapo ndani ya tanzania ndo kimeandamana.
Mkuu Mzee Mwanakijiji, with due respect, Muungano uliridhiwa bara tuu na sio Zanzibar!.Pasco, Muungano uliridhiwa Zanzibar kama ulivyoridhiwa Tanganyika na vyombo halali vilivyokuwa na uwezo wa kufanya hivyo na ambavo bado vipo. Wanaosema kwamba Muungano haukuridhiwa Zanzibar wanaandika historia upya; hawajui historia na hawataki kuijua. Na Wazanzibari wengi hawajui kuwa muungano uliridhiwa kihalali kabisa. Ndio maana wengine tunaona huo muda wa kuwafundisha watu historia hatuna; kama wanataka kuondoka wafunge mizigo, mapakacha na waende; kuna mamia ya Watanganyika walio tayari kushika nafasi zao ambazo wanazishikilia bara.
Kisheria Muungano ni wa bara tuu, ndio maana Dourado alipomtonya Jumbe kuhusu Zanzibar kutouratify muungano na wakataka kuweka mambo sawa, Jumbe alishughulikiwa ipasavyo!.!
wewe ungalikuwa mtumwa hata mimi ningalikutoa bure maana huna thamani yoyote huwezi kuuzika maana uwezo wa kufikiri huna
Mkuu Mzee Mwanakijiji, with due respect, Muungano uliridhiwa bara tuu na sio Zanzibar!.
Kwa vile hizi ni nchi mbili tofauti zenye uhuru wake na zote ni Jamuhuri huru, kauli pekee haitoshi kuziunganisha, lazima kufuata taratibu, sheria na kanuni ili kuhalalisha nia na kauli hizo, ndipo zikaandaliwa hizo articles of union!.
Articles zile japo zilikosa sifa ya kisheria ya kuutwa mkataba "contract" kutokana na tatizo la kisheria liitwalo "privity of contract", articles zile zilikuwa na sifa zote za kuitwa ' international treaty" kuunganisha nchi mbili, na ili any international treaty kupata uhalali na nguvu ya kisheria, ni lazima treaty hiyo iwe ratified na mabunge ya nchi husika!.
Ratification is a process ambayo hufanywa kwa procedures maalum na kufanywa in writing!.
Bunge la Tanzania lilifuata sheria, taratibu na kanuni zote ku ratify zile articles of union kwa maandishi!.
Zanzibar, walikuwa ndio kwanza wametoka kwenye mapinduzi, hivyo hawakuwa na bunge, Baraza la Mapinduzi ndilo lililokuwa kila kitu!. Lilipaswa kuziridhia zile articles of union kwa ratification ambayo hufanywa kwa maandishi!. Vikao vyote vya BLM vina hansard, lakini hilo halikufanyika na hakuna kumbukumbu yoyote ya maandishi kwamba ratification ilifanyika!.
Kisheria Muungano ni wa bara tuu, ndio maana Dourado alipomtonya Jumbe kuhusu Zanzibar kutouratify muungano na wakataka kuweka mambo sawa, Jumbe alishughulikiwa ipasavyo!.
Tumewanyanyasa sana, its about time now, we just lets them go!
Niwe mtumwa kwani mimi nimekuambia ni Mzanzibar??. Wewe huoni watumwa jinsi wasivyojiamini kila siku kelele tu kuwa wanaonewa.wewe ungalikuwa mtumwa hata mimi ningalikutoa bure maana huna thamani yoyote huwezi kuuzika maana uwezo wa kufikiri huna
Mkuu Mzee Mwanakijiji, with due respect, Muungano uliridhiwa bara tuu na sio Zanzibar!.
Mwanakijiji kwenye hii clip una la kusema tena?ni kwamba watu wanataka nchi yao ambayo mmeikalia kimabavu..