Leo zamani (kabrasha la kumbukumbu)

Leo ni tar 27 ni siku ya 301 bado siku 65 kumaliza mwaka 2016
Matukio ya kitaifa
Mwaka 2001 Msanii maarufu Salehe Mwinamwila wa kikundi cha HIARI YA MOYO afariki dunia
 
Baada ya kupotea kwa muda turejee tena kwenye kkabrasha let la historia
 
Leo ni kumbukumbu ya kifo cha Sharo milionea miaka mine kamili tangu atutoke
 
Leo ni kumbukumbu ya kifo cha Sharo milionea miaka mine kamili tangu atutoke
717d89544401491febc7edbbb5ecb61d.jpg
 
Leo ni tarehe 28 Nov ni siku ya 333 bado siku 33 kumaliza mwaka 2016
Matukio ya kitaifa hakuna
Matukio ya kimataifa
Mwaka 1960 uhuru wa Mauritania
 
Leo ni tarehe 29 ni siku 334 bado siku 32 kumaliza mwaka 2016
Matukio ya kitaifa
-Mwaka 2012 Tumaini media wahama rasmi kutoka posta kwenda Tabata
-Mwaka 1965 wanafunzi wa chuo kikuu Dsm walichoma moto bendera ya uingereza na kupiga mawe gari la serikari , kutikana na kukasirishwa na sera za uingereza dhidi ya Zimbabwe
0c7fdd3f1dee6b70ae2178c1ffef6622.jpg

Matukio ya kimataifa
1932 kuzaliwa kwa aliyekuwa rais wa ufaransa Jaques Chirac
 
Tunaanza rasmi leo tarehe 9/9/2016

Kila siku ina tukio lake kwenye historia ya dunia...nilitamani siku nyingi tuwe na kitu kama hiki kama ilivyo kwa redio Tumaini...kule photos kuna kitu kama hiki kinatukumbusha mengi sana...lakini kwenye habari za kawaida hatuna

Nitajitahidi kwa kadiri ya uwezo wangu kuweka kila siku matukio yaliyotokea tarehe na mwezi kama leo

1:9/9/1990 ndio ilikuwa siku ambayo alipinduliwa na kuuwawa kikatili aliyekuwa rais wa Liberia marehemu Samuel Doe

Matukio mengine ya tarehe ya leo -kumbukumbu ya kifo cha Mao zhe Dong rais wa china mwaka 1976

-Kuzaliwa kwa James Siang'a raia wa Kenya aliyekuwa kocha maarufu wa Simba

☆☆☆Kesho nitaendelea nakaribisha na wengine pia wanaopenda historia waweke matukio wanayoyajua
Screenshot_20210908-200646.png
 
Back
Top Bottom