Leo zamani (kabrasha la kumbukumbu)

Leo ni tar 14/9 Siku ya 258 bado siku 108
Matukio ya kitaifa
-Mwaka 1967 Tanzania iliacha rasmi kutumia fedha ya pamoja iliyokuwa ikitumiwa na Kenya na Uganda
-1990 Marehemu Horace Kolimba katibu mkuu wa ccm alitoa rai kwa ccm kuachana na dhana ya chama kushika hatamu na kuiachia serikali kufanya mambo kwa uhuru zaidi! Miaka 2 baadae mfumo wa vyama vingi uliruhusiwa rasmi Tanzania

Kimataifa
Mwaka 2003 serikali ya Guinea Bissau yapinduliwa na mkuu wa majeshi wa nchi hiyo! Rais aliyepinduliwa ni Kumba Yala. Mapinduzi hayo yasiyo na umwagaji wa damu yaliyotokana na rais kushindwa kuwalipa wanajeshi
1891ndio siku ilipigwa penalty ya kwanza kwenye soka huko uingereza
Mshana jr!
Ulibahatika kusoma makala moja (RAI)majibizano ya Horace kolimba na mwl nyerere?
 
Nimeukuta huu Uzi juju naomba nirudi tar ya Jana 11/9/1987 hii ni Siku maarufu kwa ragae roots,mwanamziki mashuhuri wa mziki wa ragae PETER TOSH alipigwa risasi na kufariki shambulio lililofanywa nyumbani kwake na Rafiki yake kipenzi LEPO ,inaniuma saana
Huwa namkubali sana Tosh
 
Tar 26/9 Siku ya 290 bado siku 76 kumaliza mwaka 2016
Matukio ya kitaifa
Mwaka 1984 Rais wa Tanzania Mwalimu Nyerere alizindua na kuweka jiwe la msingi kwenye chuo cha kilimo Sokoine morogoro

Kimataifa
1887 mjerumani mwenye asili ya marekani Emily aliunda phonograph/ record player ya kwanza
 
Tulianzia huku
1474863940282.jpg
hii ndio phonograph au record player
 
Leo ni tar 28/9 ni siku ya 292 bado siku 74 kumaliza mwaka 2016
Kitaifa
Mwaka 2004 Rais wa Tanzania Benjamin mkapa awaapisha majaji wanne kwenye nafasi ya ujaji baadhi yao ni Jaji Mohamed Chande Othman, Jaji Kipenka Musa , Jaji Manento nk
1918 majeshi ya ujerumani yaliingia Tanzania kupitia Songea wakati vita ya kwanza ya dunia ikiendelea
1983 serikali ya Tanzania yakanusha taarifa za BBC kuwa bandari ya Dar es salaam inakimbiwa na wateja kutokana na ushuru mkubwa wa kutoa mizigo na mambo mengine pia

Kimataifa
1745 kuimbwa kwa mara ya kwanza wimbo wa taifa wa uingereza ukijulikana kama 'God save the Queen'
1970 kifo cha Gamel Nasser rais wa Misri wakati huo
 
Leo ni tar 28/9 ni siku ya 292 bado siku 74 kumaliza mwaka 2016
Kitaifa
Mwaka 2004 Rais wa Tanzania Benjamin mkapa awaapisha majaji wanne kwenye nafasi ya ujaji baadhi yao ni Jaji Mohamed Chande Othman, Jaji Kipenka Musa , Jaji Manento nk
1918 majeshi ya ujerumani yaliingia Tanzania kupitia Songea wakati vita ya kwanza ya dunia ikiendelea
1983 serikali ya Tanzania yakanusha taarifa za BBC kuwa bandari ya Dar es salaam inakimbiwa na wateja kutokana na ushuru mkubwa wa kutoa mizigo na mambo mengine pia

Kimataifa
1745 kuimbwa kwa mara ya kwanza wimbo wa taifa wa uingereza ukijulikana kama 'God save the Queen'
1970 kifo cha Gamel Nasser rais wa Misri wakati huo
marekebisho kidoogo kwenye day counting, leo ni siku ya 272 bado siku 94 kumaliza mwaka!, otherwise nimependa sana huu uzi na ninaufuatilia, asante mshana Jr
 
Tar 29/9 ni siku ya 273 bado siku 93 kumaliza mwaka 2016
Matukio ya kitaifa
Mwaka 1911njia ya reli ya Dar-Tanga ilifika Moshi kwa mara ya kwanza na kufanya ijulikane kama Dar- Tanga- Moshi railways

Matukio ya kimataifa
Mwaka 1950 mashine ya kwanza ya kujibu sauti bila msaada wa mtu ilizinduliwa huko marekani (telephone auto answer machine)
1829 jeshi la kwanza la polisi lilizinduliwa huko London uingereza
 
Tar 29/9 ni siku ya 273 bado siku 93 kumaliza mwaka 2016
Matukio ya kitaifa
Mwaka 1911njia ya reli ya Dar-Tanga ilifika Moshi kwa mara ya kwanza na kufanya ijulikane kama Dar- Tanga- Moshi railways

Matukio ya kimataifa
Mwaka 1950 mashine ya kwanza ya kujibu sauti bila msaada wa mtu ilizinduliwa huko marekani (telephone auto answer machine)
1829 jeshi la kwanza la polisi lilizinduliwa huko London uingereza
Ahsante sana naomba pia ujikite sana kwenye historia ya TZ maana vijana wengi hatufahamu sana historia ya Tanzania
 
Tar 30/9 Siku ya 274 bado siku 92 kumaliza mwaka 2016
Leo ni kumbukumbu ya uhuru wa Botswana(Bechuana land) mwaka 1966...ni miaka hamsini kamili
 
Matukio ya leo tar 1.10 ni siku ya 275 bado siku 91 kumaliza mwaka 2016
Kitaifa
1963 wilaya za Kushoto na korogwe zilianzishwa rasmi
1964 wilaya za mbozi na mufindi zilianzishwa
1965 redio Tanzania ilianza vipindi vyake
1960 mwenyekiti wa TANU alichaguliwa kama waziri mkuu wa Tanganyika
1973 chama cha TANU kiliamua kuhamishia makao yake makuu kwenda Dodoma
Kimataifa
2015 meli ya mizigo ilipotea karibu na Bahamas meli hiyo iliitwa Alfaro, ilipotea ikiwa na wafanyakazi 32
1946 mahakama ya kimataifa ilianza kazi rasmi nchini ujerumani hata hivyo miaka minne baadae ilikuja kuhamishwa kutokana na wanajeshi wa NAZI kuandamana kupingwa kushtakiwa kutokana na vitendo vyao vya kikatili kwenye vita ya pili ya dunia
 
Back
Top Bottom