Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuandka kwa bopomofo? Ndy nnHebu andika kwa bopomofo
Mshana jr! Habari za huko uliko kwenda? Uwe una aga.Asante dada za siku lakini?
Charles Taylor sio TylerSamwel Doe alikuwa askari mwenye cheo kidogo kilicho tokea wakati mapinduzi yamefanyika yeye alikuwa nije analinda akaja mwenzie kutoka ndani na kumuambia wenzio wanagawana nchi ndani ikawa kama amempandisha mzuka,hapo ndipo Doe alipo ingia ndani na kuwafyatulia risasi na yeye kujitangaza kuwa raisi na slogani yake ilikuwa mimi ni rais mzawa tuachane na wakongo yaani wakuja kipindi hicho Chales Tyler alikuwa amefungwa marekani.
Hapo sasa huyu mama wa sasa akaulizwa na marekani asaidiwe vipi kuingia ikulu,akasema yeye hamuwezi Doe hivyo mtoeni Tyler wamarekani wakamtoa na wakatangaza Tyler katoroka,Tyler akarudi Liberia akaendesha kapeni ya kumtoa Doe ili Helen ashike madaraka alipofanikiwa na yeye akajitangaza kuwa rais,mama akaomba msaada tena marekani kumtoa Tyler hapo unaona sisi waafrika tunagombanishwa na mataifa ya nje.
Liberia ni moja ya nchi ambazo hazikutawaliwa pamoja na Ethiopia,Liberia ndio nchi ambayo waafrika waliokuwa utumwani walirudishwa na kufikishiwa hopo kabla ya kusambazwa kila mtu kwao huo mpango ukafa wakajikuta wamekuwa hapo,mpaka leo wanatambuana wazawa na wasio wazawa usiku mwema