nitonye JF-Expert Member Dec 18, 2011 7,273 3,750 Oct 17, 2012 #1 Leo nilikuwa na wakati mgumu kujiokoa na moshi wa kutoa machozi pale central kama zali now niko powa. Aisee kumbe inawasha vile ilibidi ninunue maji
Leo nilikuwa na wakati mgumu kujiokoa na moshi wa kutoa machozi pale central kama zali now niko powa. Aisee kumbe inawasha vile ilibidi ninunue maji
nitonye JF-Expert Member Dec 18, 2011 7,273 3,750 Oct 17, 2012 Thread starter #3 Ciello said: nawe ulikwenda kumtoa ponda? Click to expand... Hapana mkuu nilikuwa kwenye harakati zangu ndio nikakutana na dhahama hiyo
Ciello said: nawe ulikwenda kumtoa ponda? Click to expand... Hapana mkuu nilikuwa kwenye harakati zangu ndio nikakutana na dhahama hiyo
Arabela JF-Expert Member Jul 24, 2012 3,127 2,227 Oct 17, 2012 #4 Hahaha pole nitonye njoo nkupulize macho
Nicas Mtei JF-Expert Member Dec 21, 2010 11,556 7,085 Oct 17, 2012 #6 kumbe wewe ndo huyu aliyekamatwa hapo? Dui pole sana nitonye dj sek: HAWA NDIO WAFUASI WA SHEIKH PONDA WALIOKAMATWA WAKIANDAMANA DAR LEO Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
kumbe wewe ndo huyu aliyekamatwa hapo? Dui pole sana nitonye dj sek: HAWA NDIO WAFUASI WA SHEIKH PONDA WALIOKAMATWA WAKIANDAMANA DAR LEO