watu wanazi kumiminika hapa kwenye uwanja huu wa NMC
MSIJALI MLIOPO MBALI.Tuna kikosi chetu pale kikiongozwa na Crashwise...Ameshachaji betri mbili(si unajua simu za mchina) za BB-pori yake!Nasikitika sitaweza kuhudhuria mkutano mzuri kama huu,kazi zimenibana ila nipata simu toka katikati ya mji mambo ni mazito.
na sisi madiwani tuliofukuzwa chadema tutafanya mambo yafuatayo:
1. tutakwenda mahakamani kupinga udikteta uliofanywa na viongozi wa chadema kutufukuza chaguo la wana Arusha
2. tutaandaa mkutano mkubwa jijini arusha ili kujibu mapigo ya mkutano wa leo pia kuwaeleza wananchi kinaga ubaga nini kinaendelea ndani ya chadema, na mchakato wa uchaguzi ulivyoenda na maovu yanayofanywa na Lema kuhujumu Arusha
Umeshafika uwanjani...pia nami nimetoka moshi kwajili ya kutoa info za matukio yote ya mkutano wa chama makini sana chadema
Leo hakuna mabomu naona vijana wamejifunga vitambaa vyeupe kama siku hiyo<br />
<br />
hiyo ni baraka kwani maji ni uwepo wa uhai wa viumbe wa Mungu duniani na ili vimtukuze.so mkutano unabaraka zote kutoka juu.mbarikiwe sana hiyo ni nguvu ya umma na ni nguvu ya Mungu.
watakuwa na ccm wenzaoHuo mkutano utaenda wewe na familia yako
<br />Umeshafika uwanjani...
nitajitahidi lakini unge nisaidia unataka speech ya kiongozi gani inge nisaidia kutokurecord mkutano mzima....Tunaomba picha na uploaded speech or movie kwa hili tukio la Arusha. CHADEMA mko sawa, msinge wafukuza madiwani waasi hakuna mtu angewaelewa. Big Up CDM you are showing a way and maturity.
Karibu sana Arusha mkuu...<br />
<br />
mkuu nipo maeneo ya karibu hapa aq nasubiria shughuli ianze pamoja man
<br />
<br />
mkuu nipo maeneo ya karibu hapa aq nasubiria shughuli ianze pamoja man
nitajitahidi lakini unge nisaidia unataka speech ya kiongozi gani inge nisaidia kutokurecord mkutano mzima....