<br />hatimaye ule mkutano mkubwa na wa ukweli wa chama chetu cha Chadema utafanyika leo hapa a.town so hivyo jamani kaeni mkao wa kula natumai tutatoa kila tukio tutalileta hapa jamvini.peopleeeeeeeeeeeeeees
na sisi madiwani tuliofukuzwa chadema tutafanya mambo yafuatayo:
1. Tutakwenda mahakamani kupinga udikteta uliofanywa na viongozi wa chadema kutufukuza chaguo la wana arusha
2. Tutaandaa mkutano mkubwa jijini arusha ili kujibu mapigo ya mkutano wa leo pia kuwaeleza wananchi kinaga ubaga nini kinaendelea ndani ya chadema, na mchakato wa uchaguzi ulivyoenda na maovu yanayofanywa na lema kuhujumu arusha
<br />na sisi madiwani tuliofukuzwa chadema tutafanya mambo yafuatayo:<br />
1. tutakwenda mahakamani kupinga udikteta uliofanywa na viongozi wa chadema kutufukuza chaguo la wana Arusha<br />
<br />
2. tutaandaa mkutano mkubwa jijini arusha ili kujibu mapigo ya mkutano wa leo pia kuwaeleza wananchi kinaga ubaga nini kinaendelea ndani ya chadema, na mchakato wa uchaguzi ulivyoenda na maovu yanayofanywa na Lema kuhujumu Arusha
<br />Saa nane ila watu wameshaanza kujaa huko NMC...pamoja na kwamba leo hari ya hewa Arusha ni manyunyu...
na sisi madiwani tuliofukuzwa chadema tutafanya mambo yafuatayo:
1. tutakwenda mahakamani kupinga udikteta uliofanywa na viongozi wa chadema kutufukuza chaguo la wana Arusha
2. tutaandaa mkutano mkubwa jijini arusha ili kujibu mapigo ya mkutano wa leo pia kuwaeleza wananchi kinaga ubaga nini kinaendelea ndani ya chadema, na mchakato wa uchaguzi ulivyoenda na maovu yanayofanywa na Lema kuhujumu Arusha
Hizo ni kauli za kujifariji mwisho, ukitaka kujua mwisho wa jambo angali wafuasi wake wengi wana umri gani ndiyo uje na mchango wa mawazo mazuri.
do what you can..that is your personal interest....walioamua ni watu na mahakama ni watu pia....wewe mume huendani naye..then walazimisha ndoa...huumwi?
swala sio maslahi ya mume au mke yanayoanagaliwa hapa, kinachoanagaliwa ni maslahi ya watoto ambao ni wana Arusha na jinsi wanavyoathirika kwa kutokupata maendeleo kwasababu ya chama kung'ang'ania kushughulikia matakwa ya mtu mmoja na kudharau ya walio wengi et kwa kuwa mtu huyo ni mbunge! kwa kifupi mmetangaza moto subirini uwawakie!do what you can..that is your personal interest....walioamua ni watu na mahakama ni watu pia....wewe mume huendani naye..then walazimisha ndoa...huumwi?
absolutely yes! na hii itaondoa ndoto yao ya kupata meya wa arusha na kuunda serikali3. Kisha tutarudi kwenye chama chetu kipenzi CCM kwa mbwembwe