jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
Hivi Rejao lile jimama ulilolipata pale Sinza Bar umekwisha funga nalo ndoa?
Kumbe uko naye mjengoni?Ndo viongozi wetu hao.
Hivi Rejao lile jimama ulilolipata pale Sinza Bar umekwisha funga nalo ndoa?
Heri ya swaum ustaadh!Na wewe hushinda JF kumtetea Slaa au Mbowe!
Josephine ni mtoto wa mjini, hashindwi kitu. Kibabu lazima kiingie mkenge!
Wakuu msitetee na kuingiza mambo ya udini,mnaofanya hivyo mko desperate kulinda maslahi tu,lakini hamtafanikiwa.Kama unaikashifu dini ama imani ya member mwenzako kwa kutumia issue za kuifanya imani yako ndo ionekane bora kuliko za wenzako ndo mwanzo wa kudiscuss issue ambazo hazina msaada kwa taifa.
Wenye imani moja kuwaita wenzao wazinifu si sahihi kwasababu imani za watu ni tofauti,mtu ni mzinifu kwa kutumia vigezo vya dini yako.Hata hivyo mwingine anaweza kutumia vigezo vya dini yake kukuita na wewe "mzinifu"
Kwamfano mtu kama haamini uislam,basi anaweza kuchukulia mke zaidi ya mmoja kuwa uzinifu etc.Nashangazwa sana na watu ambao pia wanaingilia imani binafsi za watu na kwajudge against them.Kama tunategemea kupata viongozi wa Tanzania,udini unahusika vipi?ama falsafa ya serikali haina dini ni danganya toto
Nina imani kabisa kuwa wenye kuingiza dini kwenye mijadala ndo mafisadi,hilo naliamini toka kitambo na imani yangu haitayumba.
wadau nina swali, je inaruhusiwa katika waroma kukaa na mwanamke kama kimada hadi mkazaa kisha kuoana? Je hiyo inaitwa ndoa kisheria?
Harusi imeisha, tafuteni mengine ya kuzungumza. Mmeliwa.
Siamini kama Rais mtarajiwa wa M4Chagas ameoa wakati wazanzibar na watanganyika wakiwa na uchungu wa kufiliwa na jamaa zao! what a president, hivi alishindwa hata kusubirisha ?! lakini hata hivo tunaandika historia mpya ya kutoka katika uzinifu na kuelekea kula tundi kwa kuhalalisha !
Fahamu kuwa ndio zimeingia TZ hivyo, na hii ndio tumeanza kuishuhudia. Josephine anajiatach kwa Slaa kutokana na political na economical reasons. Sidhani hapo kama kuna marriage inayotokana love!
Josephine ni mtoto wa mjini, hashindwi kitu. Kibabu lazima kiingie mkenge!