Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,059
Siwezi kumkimbia mtu humu ndani, huwa natingwa tu na majukumuRejao huwa unakimbia humu, we subiri tu.
Siwezi kumkimbia mtu humu ndani, huwa natingwa tu na majukumuRejao huwa unakimbia humu, we subiri tu.
Kule arumeru ulipotea, ulikuwa campaign manager?Siwezi kumkimbia mtu humu ndani, huwa natingwa tu na majukumu
Mkuu umekosea, hii inaitwa marriage of convenience
Mkuu nipo hapa maeneo ya Tandika nacheza bao nasubiri futariwadau nina swali, je inaruhusiwa katika waroma kukaa na mwanamke kama kimada hadi mkazaa kisha kuoana? Je hiyo inaitwa ndoa kisheria?
wadau nina swali, je inaruhusiwa katika waroma kukaa na mwanamke kama kimada hadi mkazaa kisha kuoana? Je hiyo inaitwa ndoa kisheria?
Fahamu kuwa ndio zimeingia TZ hivyo, na hii ndio tumeanza kuishuhudia. Josephine anajiatach kwa Slaa kutokana na political na economical reasons. Sidhani hapo kama kuna marriage inayotokana love!hahahahah naona una lako jambo......hizo zipo nchi kama USA, UK nk.mfano unataka uraia wa nchi fulani unafanya hivyo baada ya kipindi cha mkataba mnaachana.
Teh.ha ha ha ha ...angalia reputation yangu uicompee na yako.
Mkuu nipo hapa maeneo ya Tandika nacheza bao nasubiri futari
Haka kazee kalikuwa kanasema kalinyanyaswa na mwanamke wa kwanza sasa huyu wa sasa ndo atamnyonga kabisa.
Huyu sio kwamba yupo kazini tu.umenena vyema kabisa hadi kifo chako huwezi kujicompare na mimi! you are empty headed, myopic and silly fellow!
Wewe unaolewa lini/kuoa??Nimekuja kumwish padre na dakt wa sheria za kanisa a happy marriage.
Unavyojitahidi kukalili badala kufikiri, hivi nyie wa CCM nukuu mnatunzia kwenye nywele?."Sisi binadamu tumepewa vichwa kwa ajili ya kufikiri na sio kufugia nywele" AG Werema.