Mu-Israeli
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 2,454
- 975
Hakuna utani mtu yeyote makini mwenye kujitambua lazima apingane na hii stori hakuna mtu yeyote anayemfuatilia Lema ni porojo tu za siasa.
Hapa umekosea kidogo.
Bingwa wa Porojo za Kisiasa ni Mwigulu Nchemba. Alipayuka Bungeni kuwa Chadema hawamhudumii mbunge wao wa Rombo ambaye alipata ajali. Jana ukweli umebainika na ameumbuka saaana.
Ila BINGWA wao wote ni mzee wa matusi, Livingstone Lusinde. Hapa iko wazi kabisa.