Lema: Ikulu imenivua ubunge ; Ikulu yamjibu vikali

Waziri Mkuu Mizengo Pinda mpaka leo hajatoa majibu ya kilio cha wananchi wa Izimbwa wilaya ya Bukoba vijijini waliomtuhumu jaji Gabriel Rwakibarila kuhonga viongozi wa kijiji na kupewa ardhi bila kufuata taratibu za kisheria.

Pinda alisema atafuatilia,hii ni wakati wa ziara yake Feb 2011 alipofika katika kijiji cha Izimbwa.Huu ni upande wa pili wa jaji wa Kesi ya Lema.Kidumu Chama Chetu
 
Inasikitisha taaluma ya sheria kudhalilishwa na siasa kuingia kwenye mhimili wa Mahakama.
 
Waziri Mkuu Mizengo Pinda mpaka leo hajatoa majibu ya kilio cha wananchi wa Izimbwa wilaya ya Bukoba vijijini waliomtuhumu jaji Gabriel Rwakibarila kuhonga viongozi wa kijiji na kupewa ardhi bila kufuata taratibu za kisheria.

Pinda alisema atafuatilia,hii ni wakati wa ziara yake Feb 2011 alipofika katika kijiji cha Izimbwa.Huu ni upande wa pili wa jaji wa Kesi ya Lema.Kidumu Chama Chetu

kumbe ndivyo ilivyo,tutasikia mengi ya huyu bwana jaji
 
Sijawahi ona presidential press service ya kipuuzi kama ya tanzania inayoongozwa na Salva Rweyemamu wanashindwa hata kujifunza kwa wenzetu wa Kenya!real sijapata waelewa hawa jamaa wanatumia kodi zetu bure very incompetent department at the state house.kuna mengi mazito ambayo walipaswa kutoa respose hata hili la Mheshimiwa Lema lilihitaji response ya haraka kiasi hichi shame upon you Id**ts of magogoni!

Kurugenzi ya ikulu inataka tumpuze G.Lema ,hapana hatuwezi kumpuuza Lema sisi wananchi tuna akili kama ninyi ama zaidi ya ninyi ingawa mumewekwa hapo ikulu sio kwamba mmetuzidi uwezo wa kufikiri na kuhoji hapana tumekataa .kikwete mara nyingi ameingilia uhuru wa mahakama .ushahidi wangu kuhusu kuingilia kesi ama uhuru wa mahakama .unakumbuka waliokwapua fedha za EPA ,tuna pima kila jambo kujua ukweli uko wapi
aliwapa siku 30 warudishe fedha hizo na wachache wakurudisha kiduchu kama ni kweli hata hizo kiduchi kama zilirudishwa ,lakini mbona taarifa zipo kwamba hata mwanamuziki yule alifungwa kwa sababu yake ,hata kesi ya mgombea binafsi alingilia pamoja na serikali yake hadi spika wa bunge samwel sitta wakati huo walianza kulumbana na muhimili wa mahakama .sisi hatusahau wewe unasahahu kwakuwa wewe ni mmoja wao wanaoihujumu nchi hii na kumhujumu Lema na watanzania wote .kama haiingilii uhuru wa mahakama kwa interest zake kwa nini hakuviachia vyombo vya dola viwashughulikie wa harifu ,tatizo jk anadhani yeye yuko juu ya katiba hapana kama hajui hilo ajue kwanzia sasa kwamba yeye ni sawa na sisi niridhaa tu tumempa atuonoze sio kututawala.
 
habari nilizozipata toka kwa mjumbe mmoja wa NEC ya ccm ni kwamba magamba wengi vigogo hawatashiriki kwenye kampeni za ccm arusha mjini hii ni kwa ogopa kubwaga vibaya na mheshimiwa lema.Kada huyo kaandelea kusema kwamba moja ya majimbo ambayo hawayawzii hata kwenye ndoto zao ni arusha mjini,moshi mjini,hai na karatu,kada huyo kasema kwamba kwenye kampeni hizo watawatumia vijana zaidi.NAWASILISHA
 
Salva usikurupuke ktimiza wajibu tulia fanya upembevu wacha matusi toa mada yenye kueleweka .demokrsia isibakwe
 
NYIE AMJI IKULU IMEJAA ******* KAMA HILI HAPO CHINI AKUNA WA KUJIBISHANA NA ******* KAMA HUYU
KURGENZI KURUGENZI KURUGENZI YA MAMAYAKE MZAZI MBAFUUUUUUUUUUUUU KUBWAA HANA DABU SHENZI TYPE
CYA NEXT
\Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
05 Aprili, 2012



 
Kurugenzi ya bibiyake mbwa huyu ndio maana wanamkalia wenzake anafanya siri mbafuuuuuuuu
 
Waziri Mkuu Mizengo Pinda mpaka leo hajatoa majibu ya kilio cha wananchi wa Izimbwa wilaya ya Bukoba vijijini waliomtuhumu jaji Gabriel Rwakibarila kuhonga viongozi wa kijiji na kupewa ardhi bila kufuata taratibu za kisheria.

Pinda alisema atafuatilia,hii ni wakati wa ziara yake Feb 2011 alipofika katika kijiji cha Izimbwa.Huu ni upande wa pili wa jaji wa Kesi ya Lema.Kidumu Chama Chetu

Mkuu nakuomba hii ianzishie thread na uiweke vizuri ili tuweze kuijadili!
 
Inawezekana Lema akaonekana ameropoka lakini hii hukumu ilikuwa mtaani mwezi mmoja kabla. sasa ni hakimu gani huyo kama hana baraka za ikulu anaweza kuhatarisha taaluma yake kiasi hicho?
Watajificha kwa mda tu ila yana mwisho. Naomba Watanzania wenzangu tuwe wastaarabu na wapole kipindi hiki.
Namshauri Lema asikate rufaa na hata kama chama hakitampitisha, amuunge mkono yeyote atakayepitishwa cos lazima M4C itashinda tu. Ikulu na CCM yao wanajidhalilisha sana na huu upumbavu wao wa kuchezea Mahakama na Polisi ili kuwakandamiza wakombozi wetu.
 
Uko sahihi mno. Hata mimi ndivyo nilivyofikiri....
Naona pamoja na kushindwa Arumeru wakaamua kufa na tai shingoni, lakini gharama yake ni kubwa na ccm watailipa kipimo kilichojaa.
 
Peter Saramba na Mussa Juma, Arusha

Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Arusha mjini, Godbless Lema, jana aliweka wazi jambo alilodai siri nzito pale alipoeleza kuwa mwaka 2007 alikutana na rais Jakaya Kikwete katika kikao maalumu ambapo alimwomba akubali kugombea ubunge wa jimbo hilo kupitia CCM, ombi alilolikataa na kudai ni moja ya sababu ya chuki iliyotumiwa na dola kumvua ubunge.


Akizungumza kwenye ofisi za Chadema, mkoa wa Arusha mara baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kutengua matokeo yaliyompa ushindi jana, Lema alitaja viongozi wengine wa serikali waliokasirishwa na misimamo yake akiwa bungeni ambao alielezwa wameahidi lazima avuliwe ubunge kuwa ni paoja na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Spika wa Bunge, Anne Makinda.

Alsisema hata baada ya Dk. Baltilda Burian keteuliwa kugombea kupitia CCM pia alitumiwa ujumbe kumtaka ajitoe kwa ahadi ya kutafutiwa nafasi ya uongozi serikalini lakini pia alikataa hivyo Rais pamoja na viongozi wengine walimwekea chuki na kuahidi kumshughulikia, hivyo anaamini hukumu hii ni moja ya ahadi ya kushughulikiwa aliyoahidiwa.
…
Source: Mwananchi 06/04/2012

My take:
1. Hii imekaaje wakuu, kuna ukweli!?
2. Je, kabla Idara ya Mawasiliano ya Ikulu kutoa ile taarifa yake ambayo wengi wanasema haina hata hadhi ya kuwa taarifa ya ‘serikali ya kijiji’, waliyajua haya?
3. Je mambo yakishaonekana hivi ni busara wananchi nao kukaa kimya kwa kila kilichozoeleka kuwa “serikali imesema”?
Kama maswali haya hayajibiki ni wazi utawala uko likizo.

It suddenly becomes incredibly politik! Haya tuone bi mkora na mzee wa kuliax2 watakavyokanusha
 
Lema amesema UKWELI, Ikulu kama kawaida yake (mipasho) imesema UONGO!
CDM wasikate rufaa wasimamishe hata kivuli chao tu nina uhakika jimbo watalichukua tena!
Nchi hizi zetu masikini na wananchi sisi mbumbumbu hakuna mihimili mingapi sijui ya dola, upo mhimili mmoja tu wa dola nayo ni Serikali, ukiipinga unakufa njaa!
Kazi ipo!
 
Back
Top Bottom