commonmwananchi

JF-Expert Member
Mar 12, 2011
3,377
1,952
Godbless Lema, kwa tweet yako hii nimelazimika kuamini kwamba baada ya kugundua kwamba kuna maslahi yanakupita na huwezi kumhoji Mwenyekiti wako, na kwasababu unao uhitaji mkubwa wa mapene ni rasmi sasa umemuomba katibu mkuu wa CCM Ndugu na komredi Chongolo akukumbuke pindi utakapofika nchini aweze kukuweka kwenye list waliyopo hao wenzio waliokutangulia wakati wa maridhiano.

Ni kama vile Lema umeshtukia dili na ukaona usipitwe!

Hakuna namna nyingine Watanzania wataweza kukuelewa zaidi ya hivyo.

Hii tweet inajieleza

Screenshot_20230219-235345_Twitter.jpg
Screenshot_20230219-235413_Twitter.jpg
Screenshot_20230219-235454_Twitter.jpg
Screenshot_20230219-235532_Twitter.jpg
 
Sasa kama mbowe analamba asali na kuwasahau wenzie mnategemea wao wafanye nini?
Yule mwingine kaja baada ya kubuma ndani ya wiki mbili kaamua kusepa, eti anaenda kuonana na daktari wake, utafikiri anaenda kumuona daktari kwa "walk in"!
Sasa huyu kaamua kutafuta kiki ndani ya ccm kabisa!
Jamani wafuasi wa chadema amkeni toka usingizini, chama chenu hakina viongozi, ni mamuluki watupu.
 
Propaganda za kingese sana hizi. Hivi unadhani hizi propaganda zinamtisha Lema??
Kwanza nenda Twitter ukaione hiyo twett.
Uibu swali!
matusi sio hoja bali ni matusi tu!
Hata sisi tunayo ila hatuhitaji kuyatumia!
Sababu sisi sio wahuni kama wewe Sexless !
Sisi tutatembea mulemule mpaka mtakapojua hamjui!
Mnashabikia wenye mambo yao!
FB_IMG_1676844091413.jpg
 
Namshauri Mbowe kabla ya kung'atuka uongozini mwaka 2023 kama alivyowahi kusema (japo hili linaonekana ni changa la macho) angeangalia namna ya kumuangukia Dr mihogo wayamalize arudi kundini kukijenga chama.

Hili genge alilobaki nalo Mbowe sasa hivi halina msaada kwake wala kwa chama chake.

Ni hayo tu.
 
Sasa kama mbowe analamba asali na kuwasahau wenzie mnategemea wao wafanye nini?
Yule mwingine kaja baada ya kubuma ndani ya wiki mbili kaamua kusepa, eti anaenda kuonana na daktari wake, utafikiri anaenda kumuona daktari kwa "walk in"!
Sasa huyu kaamua kutafuta kiki ndani ya ccm kabisa!
Jamani wafuasi wa chadema amkeni toka usingizini, chama chenu hakina viongozi, ni mamuluki watupu.
Yule atakuwa ameishiwa pesa,na Mbowe kamny8ma ushirikuano,hivyo kaamua kuzifuata toka chanzo kingine tofauti na Chadema.
 
Namshauri Mbowe kabla ya kung'atuka uongozini mwaka 2023 kama alivyowahi kusema (japo hili linaonekana ni changa la macho) angeangalia namna ya kumuangukia Dr mihogo wayamalize arudi kundini kukijenga chama.

Hili genge alilobaki nalo Mbowe sasa hivi halina msaada kwake wala kwa chama chake.

Ni hayo tu.
Uko sahihi!
 
Machadema ni majanga makubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmoja analazimisha wana Kyela waendelee kukichagua chama ambacho toka kianzishwe mwaka 92 hadi leo 2023 viongozi wao wa kitaifa hawajawahi kukanyaga katika wilaya hiyo.

Sasa unajiuliza inakuaje mtu anaejiita mjanja na mwenye akili timamu kutwa kushinda humu kuwahadaa wana Kyela wenzake wakichague chama ambacho viongozi wake hawalijali jimbo lao. Hayo maendeleo watayapata namna gani ikiwa viongozi wa chama hawataki kufika jimboni kujua changamoto za wapiga kura wao including (chawa) wao?
 
Sasa kama mbowe analamba asali na kuwasahau wenzie mnategemea wao wafanye nini?
Yule mwingine kaja baada ya kubuma ndani ya wiki mbili kaamua kusepa, eti anaenda kuonana na daktari wake, utafikiri anaenda kumuona daktari kwa "walk in"!
Sasa huyu kaamua kutafuta kiki ndani ya ccm kabisa!
Jamani wafuasi wa chadema amkeni toka usingizini, chama chenu hakina viongozi, ni mamuluki watupu.
Wafuasi wa chadema ndio wapinzani wa kweli, ila viongozi wao wote CCM. Ushahidi huu hapa videoni.
 

Attachments

  • 5218795-900eac709d849ea146fff30dcf48cf3c.mp4
    4.1 MB
Mada za kijinga siku hizi zinashindaniwa kuletwa humu utadhani kumetangazwa zawadi
 
Back
Top Bottom