Mimi sijaona jambo la kusifiwa kwa lema hapo.kwani mwanzo ni nani walifikia muafaka mpaka yeye akakataa? hapo naona uhasama unanukia ndani ya chadema.
Labda naomba tu mnielimishe CCM ina wapiga kura wangapi na CHADEMA inawapiga kura wangapi? naomba jibu ili nifanye mahesabu yangu ya kumuunga mkono Lema kumpinga.
Huyu Lema hana mapenzi mema kwa wananchi wa AR town, kwani wakubwa zake akina Mbowe walishafikia muafaka sasa yeye anaturudisha nyuma. Wana CDM mpelekeni Lema Milembe akapafanyiwe uchunguzi wa AKILI. Kila siku yeye analeta shari!
Ni nani walifikia muafaka mpaka yeye akakataa? Ni CCM lakini imekula kwao. Kama siku zote wanafanikiwa kwa wapuuzi wenzao hapo sasa watuambie wenyewe CCM, huu mwafaka umefikiwaje yaani waliohusika na mchakato ni akina nani? Na hatima ya masuala ya kesi bandia, mauaji ya raia na udhalilishaji yako vipi kwenye muafaka? CCM is awful
I voted for you Lema na hayo uliyoyasema ndiyo matarajio yangu kwa Mbunge wangu. Nasubiri natumaini pamoja na wengine haya mambo yawekwe sawa.
La zaidi tafadhali utuambie hatima ya utetezi wako Bungeni kuhusu Waziri Mkuu kulidanganya Bunge. TUNAHITAJI MAJIBU.
kAULI ILIYOSIMAMA...HII inatoka mdomoni mwa Lema Live, haijaongezwa au kupunguzwa neno!
Kuna watu hapa ndani baada ya kusoma habari kuwa CDM wamekubaliana kuingia muafaka na ccm, walisema kuwa lazima Godbless Lema atatoa kAuli, na hakika ndiyo hii hapa!
Jamani, jamaa ameeleweka, hasa kwa hoja kuu kuwa ishu si kugawana vyeo!
Spport you pal, hali ni tata sana mjini hapa, there was no way!
Wewe ndio utakuwa kichaa namba1,rudia kusoma ulichoandika1. Mada imeandikwa ki-mkorogo mno, haileweki kichwa wala miguu. Inabidi ujaribu kuunganisha unavyojua ili kupata picha. Swali la kujiuliza, huyu Mhe Lema anajua wazi uwezo wake wa kuchambua na kuandika mambo ni sifuri. Lakini amekosa hata msaidizi mmoja wa kumwandikia kauli nzito kama hii? Kutokwenda shule si kosa, kosa ni pale unaposhindwa kuwatumia waliokwenda shule wakusaidie.2. Huyu mbunge anafahamika siku zote kuwa ni mtu wa shari. Lakini kwa hili la kupingana na busara za wenzake walioona yafaa kumaliza mgogoro wa Arusha kwa amani na wakasifiwa kwa hilo.....linamfanya Lema awe ni mtu wa kuogopwa kuliko ukoma.3. Watu wa Arusha hatukumchagua ili atuletee umwagaji damu na kutukosesha utulivu wa kufanya kazi za kuteletea maendeleo. Kwa kweli sasa tunajuta kumchagua kichaa atuongoze. Tumeisha......!
kama mwafaka ni wa CCM ilikuwaje hao ma naibu meya na mwenyekiti kamati ya fedha kutoka CDM wakagombea na kuchaguliwa? Huoni kama kuna contradiction hapo?
Hivi CDM kila mtu ni msemaje? Ngoja tuone kati ya Mbowe na Lema na zaidi
Lema nina hakika kuwa upo sahihi kwenye hili. CHADEMA msijidanganye kuwa mtu mmoja au wawili wanaweza kukaa chini kwa niaba ya wananchi wanaowaunga mkono na kutoa maamuzi kama yaliyofikiwa Arusha.
Kama ni Umeya achaneni nao simamieni haki, CCM walikuwa wameisha wa-fix kwenye hili it was a matter of time tu wangeanza kuli-spin na kumomonyoa support ya wananchi juu yenu. Kama nilivyosema hapa https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...umeya-wa-arusha-wapatikana-6.html#post2127305 CHADEMA wajue kuwa wananchi wa Arusha na maeneo mengi Tanzania hawataki muafaka na CCM, kwani waliisha wakataa kwenye sanduku la kura japo hawasikilizwi matakwa yao kwa CCM kutumia dola kunng'ang'ania kuwatawala. Wananchi wanataka kuondokana na CCM, any deal which led to the continuation of CCM will only serve well to the CCM. Huwezi kuvunja sheria mpaka kufikia kupotezea watu uhai wao halafu, mwisho wa siku unakuja kulazimisha mazungumzo na muafaka wa kupeana ulaji, Jifunzeni kutoka CUF, wamejikaanga kwa mafuta yao. This was a big victory to CCM towards dismantling CDM.
Waachieni Umeya wao, hakikisheni mnasimamia utaratibu kufuatwa na kuhakikisha wauaji wana-face the legal action. Huwezi kutengeneza documentary, inayosikika afisa wa polisi akisema "Aje Killer mara moja aje killer", halafu ipite hivi hivi. Ni bora mgogoro uendelee mpaka 2015 kuliko ku-BOW kwa kupewa unaibu meya. Hongera Lema ninataka na Mbowe naye aliyekaa na counterparty wake Pinda atoe kauli kama hii bungeni. Kuwa hakuna muafaka uliofikiwa au utaofikiwa bila a, b ,c niliyotaja hapo juu. Otherwise this is the beginning of the end of the strong support for Chamema nationalwise and particularly in Arusha. Wananchi wana imani na ninyi, wakikata tamaa wataacha kuja kwenye maandamano yenu.
Watu wa Arusha hatukumchagua ili atuletee umwagaji damu na kutukosesha utulivu wa kufanya kazi za kuteletea maendeleo. Kwa kweli sasa tunajuta kumchagua kichaa atuongoze. Tumeisha......!
Lema amekuwa akishuhudia jinsi Mhe Zito, Chairman Mbowe wanavyotoa press releases kuhusiana na mambo mbalimbali.
Ameona huu ni wakati muafaka na yeye aonekane kuwa yupo, anaweza kutoa tamko...ndo maana amemwaga hayo maji-taka hapo.
CHEAP UNETHICAL POPULARITY.
Shame on you Lema. You are a disgrace to Arusha people.