Mkwawa
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,334
- 1,464
Hapa hakuna mpango! kuna watu wamefanya blunder ya mwaka and they don't want to own up. Binafsi, kama kulikuwa na maridhiano kati ya madiwani wa Chadema na wale wa CCM pale Arusha, na wakakubaliana na wakapigiana kura, without coercion or threats kwa manufaa ya manispaa yao. That settles it. Chadema Taifa wanatakiwa kutambua na kuheshimu makubaliano hayo. Vinginevyo, ioneshwe kuwa Chadema taifa ilitoa agizo au maelekezo (kwa maandishi) kwa madiwani wake kutoshirikia majadiliano yoyote ya muafaka bila kutoa taarifa HQ. Hiyo ndio itakuwa sababu pekee ya Taifa kutotambua muafaka huo.
Tulio kataa tangia asubuhi yale makubaliano tuliona mbali sana.