Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,889
- 32,289
Mkuu, maandamano ya CDM Arusha wote tumeyaona Askari walipopiga mabomu ya machozi na risasi hewani watu wote walisambaa kwa kasi ya ajabu vitu vilivyobakia barabarani ni yebo yebo na kandambili mkuu, labda Mama Slaa ndio anaweza kusema sababu alipigwa wewe kaka sikukuona au wewe ndio ulikuwa unaendesha ile gari iliyovunjwa vioo na polisiHuo muafaka walikubaliana na nani?,ni lini uchaguzi wa Meya uliitishwa na Chadema wakashinda unaibu Meya?Mimi ni mmoja wa waathirika wa maandamano yale(nilipigwa na kitako cha bunduki mwilini mwangu sema ujasiri nao ulinisaidia kuwatoka polisi maeneno ya round about ya mnara wa mwenge karibu kabisa na azimio la Arudha).Haya magazeti yaliotangaza kuwa muafaka umepatikana ni lini?Mimi Kama mwanachama wa Chadema na Watanzania wote wenye mapenzi na chama cha Chadema tunataka kupewa habari kwa uwazi bila kificho chochote.Nnamuomba Lema Kama alivyoonyesha msimamo wake hapa basi atujuze huo muafaka ulifikiwa lini na yeye je alishiriki au alipewa taarifa na maelekezo tu toka kwa mkubwa wake?.Nnawaomba viongozi wangu wa Chadema heshima mliyojijengea hasa misimamo na uvumilivu uliopo na imani ya wananchi juu ya chama hichi wasiiporomoshe kwa style hii.Pamoja sana Lema Mungu akubariki na Mungu akibariki Chadema na watu wote