Huwezi kujenga chama kwa Chopa ni matumizi mabaya ya pesa kuna mambo mengi ya msingi ya kufanya chama hakina ofisi mikoani hata makao makuu hali sio nzuri...mnawachangisha pesa wananchi halafu mnamkodishia Lema Chopa.
Tuwe wakweli hivi Lema ana Influence gani kwenye siasa za Tanzania
?
Siasa za Lema ni sehemu za kaskazini maeneo ya Arusha, Kilimanjaro.
Inabidi tuwe makini kumbe kuna vijana wetu humu.
Siungi mkono Lema kuzunguka na Chopaa nchi mzima kwa kauli mbiu ya kujenga chama,ni matumiz mabaya ya pesa.,tunahitaji kutengeneza foundition ya kudumu ili tuweze kuchukua nchi na sio mambo ya Zima moto ya kutumia chopaa kwa siku moja kwenda kuhotubia wanakijiji kwa masaa mawili au moja na nusu na kisha kuondoka.Njia hii haiwezi kujenga chama kama tunavyofikiria.Tutengeneze basic foundition na sio kutafuta amasa ya cku moja na chopa.
we ritz kumbe hujui siasa za tanzania...lema zaidi ya mkapa...kama unabisha njoo apa chuo kikuu..na kesho tunamzomea mkapa
Tunashuhudia upotevu wa MABILIONI ya pesa za wananchi kwa kumtengenezea LEMA ajira!
Hii ni hatari sana kwa taifa.
Kama katemwa ubunge apumzike mbona wengine hatuna job na tunasurvive?
Mkuu wala usidhani ni wewe tu hufahamu, wananchi wengi hatufahamu lakini inaanza kueleweka kuwa tulio nao ni Usalama wa CCM!Chadema inapelekea watu wa Usalama wa Taifa waanze kutafuna per diem za kumfuatilia Lema mikoani. Kwa usalama wa Taifa wa hivi ni bora nchi isiwe na kitengo cha usalama wa Taifa, ni usalama wa Taifa gani una-deal na kufuatilia maandamano ya vyama huku Twiga wakisafilishwa kwa ndege kwenda nchi za nje bila kufuata taratibu? labda mimi sifahamu nini maana ya usalama wa Taifa.
Naam haya ndio mazao ya sera mbovu za CCM, halafu mashabiki mlio kubuhu wa sera hizo mnajifanya kushangaa, pumbavu zenu!Ni msiba kwa taifa hawa ndio wasomi wetu wa University of Dar es Salaam...anajipanga kuzomea sasa sijui kule shule za kata kuna hali gani, mtu kama wewe ukimaliza chuo ukipewa wizara si utaimaliza siku mbili tu.
Huwezi kujenga chama kwa Chopa ni matumizi mabaya ya pesa kuna mambo mengi ya msingi ya kufanya chama hakina ofisi mikoani hata makao makuu hali sio nzuri...mnawachangisha pesa wananchi halafu mnamkodishia Lema Chopa.
Tuwe wakweli hivi Lema ana Influence gani kwenye siasa za Tanzania?
Siasa za Lema ni sehemu za kaskazini maeneo ya Arusha, Kilimanjaro.
Tunashuhudia upotevu wa MABILIONI ya pesa za wananchi kwa kumtengenezea LEMA ajira!
Hii ni hatari sana kwa taifa.
Kama katemwa ubunge apumzike mbona wengine hatuna job na tunasurvive?
Hii job unayofanya full-time hapa JF umejitolea? Subutu! Ndiyo maana una-survive. Mwache Leama naye ajipatie ajira, usiwe na roho mbaya.