Mkuu mbona jibu liko wazi kabisa kuwa ni Spika wa Bunge Bibi Kiroboto na Naibu wake Job Ndugai, pamoja na Uongozi mzima wa jeshi la polisi chini ya amri mbofu mbofu za Babe Mwanaisha ndio zinazompa umaarufu Lema na chama chake cha CHADEMA. Kwa maneno mengine ni kuwa kila umaarufu wa Lema au CHADEMA ukishuka kidogo basi watajwa lazima watakurupuka na waupaishe mpaka wanachi sasa tume ukinai huo umaarufu wa Lema na Chadema yake.
Hata Lema akitoka jela kesho utaona kama si Spika au Naibu wake au jeshi la polisi mmoja wapo kati ya hao watatu lazima wataupaisha tena umaarufu wa Lema na CHADEMA...kama huniamini stay tune!
Hata Lema akitoka jela kesho utaona kama si Spika au Naibu wake au jeshi la polisi mmoja wapo kati ya hao watatu lazima wataupaisha tena umaarufu wa Lema na CHADEMA...kama huniamini stay tune!