Ndugu zanguni,
Kama mjuavyo siku hizi kila kukicha chadem wanafyatua muvi mpya, mara Mwigamba kapigwa kitofali mara Zitto kavuliwa uongozi na sasa viongozi wa chadema mikoa nao wanajiuzuru.
Haya yote ukiangalia kwa makini yanasababishwa na Lema ambae ndio mshauri mkuu wa Dr na askari mtiifu wa Mbowe. Wote wanaoondoka ni wale waliotofautiana nae.
Chadema mnatafuta virusi wakati mna bonge la kirusi linawatafuna
JITAMBUE!
Ndugu zanguni,
Kama mjuavyo siku hizi kila kukicha chadem wanafyatua muvi mpya, mara Mwigamba kapigwa kitofali mara Zitto kavuliwa uongozi na sasa viongozi wa chadema mikoa nao wanajiuzuru.
Haya yote ukiangalia kwa makini yanasababishwa na Lema ambae ndio mshauri mkuu wa Dr na askari mtiifu wa Mbowe. Wote wanaoondoka ni wale waliotofautiana nae.
Chadema mnatafuta virusi wakati mna bonge la kirusi linawatafuna
JITAMBUE!
Ndugu zanguni,
Kama mjuavyo siku hizi kila kukicha chadem wanafyatua muvi mpya, mara Mwigamba kapigwa kitofali mara Zitto kavuliwa uongozi na sasa viongozi wa chadema mikoa nao wanajiuzuru.
Haya yote ukiangalia kwa makini yanasababishwa na Lema ambae ndio mshauri mkuu wa Dr na askari mtiifu wa Mbowe. Wote wanaoondoka ni wale waliotofautiana nae.
Chadema mnatafuta virusi wakati mna bonge la kirusi linawatafuna
JITAMBUE!
ni kweli mkuu, ila nikurekebishe kidogo, inafaa kipigwe vita na maccm na wapenda ufisadi wote nchini!Yeah yeah lema nikirusi kibaya sana kinafaa kipigwe vita nawapenda mageuzi woote nchini bt kilipojichimbia kitatumaliza
Zombe teh teh...Lema yup? yule mwizi wa magari?? kama ndie basi kiboko yake ni ZOMBE
mkuu kama mh. Kapuya? Maana kabaka mtoto mbichi kabisa!Ndiye huyo. Na anakesi ya kubaka nchini Uingereza.
kwa hiyo akili ni kuingia darasani? Mbona chenge ni fisadi la kutupwa wakati ni msomi wa hali ya juu?Lema ana kidploma tu,lakini Akili ndogo kutawala akili kubwa hapo ni mabavu tu!! Lema A.town limebaki jina.
Lema ana kidploma tu,lakini Akili ndogo kutawala akili kubwa hapo ni mabavu tu!! Lema A.town limebaki jina.
Pole sana mkimbizi, rudi bongo kwenye nchi yenye maziwa na asali...
Lema ana kidploma tu,lakini Akili ndogo kutawala akili kubwa hapo ni mabavu tu!! Lema A.town limebaki jina.
Na angekuwa mwanamke kila mtoto na baba yake!!