Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,565
- 47,015
Oh my God nimepoteza kumbukumbu kama vile nimetupia gongo, mtani ni jana bana ndiyo vijana wame nyanyua kikombe, jana siwalicheza na Evertone, mtani haya ndo madhara ya kuchukua kikombe mapema kwa points, inakufanya unapoteza ufuatiliaji... Ukishajuwa umeshinda tena ila nashukuru nkuna mdau katupia images za kunyanyua kikombe....Mechi ipi ya Chelsea mtani? Jana Chelsea walicheza na wakachezea kichapo.