Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,456
- 45,748
Jina linatamkwa Leicester ( Leista) na sio Leisesta kama wanavyotamka wengi, hilo nalo neno!
Hahahhhaaa mtani wewe tu!! Aisee haiwezekani utangazwe bingwa OT, tusinyimane chakula tu siku utakayotangazwa siku hiyo tucelebrate mpaka majogoooMtaani upoooooo, wapi umepotea, Ulitabiri vizuri mtani wangu, basi ntaanza kukuuliza ubashiri match za siku husika ili niweke mkeka(bet)......halafu 10% itakuhusu
Mtani leo nahisi ni siku ya kutangaza ubingwa kwenye saa nne hivi, chelsea nao hawataki mambo ya aibu leo Tottenham wanatupa ushindi kilainiii, jiandae kwa kushiriki kushangilia hahahaHahahhhaaa mtani wewe tu!! Aisee haiwezekani utangazwe bingwa OT, tusinyimane chakula tu siku utakayotangazwa siku hiyo tucelebrate mpaka majogooo
Woyooooooooooooo wapiiiii weweeee!!!!!Mtani leo nahisi ni siku ya kutangaza ubingwa kwenye saa nne hivi, chelsea nao hawataki mambo ya aibu leo Tottenham wanatupa ushindi kilainiii, jiandae kwa kushiriki kushangilia hahaha
Safiii sana,hongereni wazeeee ....The Foxes salute!!!!!Nipo Pin point Chuga nasherekea na wana.
Wengi wetu tunaishia livescore tu mkuu!!Jina linatamkwa Leicester ( Leista) na sio Leisesta kama wanavyotamka wengi, hilo nalo neno!
Hongereni Leicester mlistahili, determination imewalipaNipo Pin point Chuga nasherekea na wana.
.kichwa kilicho kwenye hiyo logo ya leicester ni cha mnyama gani...