Day dream is aworse nightmare , endelea kuota mchana
wasahau hiyo kitu msimu huuMwaka jana walifungwa mechi 3 na timu 2, unadhani watarudia rekodi hii na wameshafungwa ya kwanza?
Msimu huu ni mgumu i admit but mpira ni dakika tisini, results are dynamicMwaka jana walifungwa mechi 3 na timu 2, unadhani watarudia rekodi hii na wameshafungwa ya kwanza?
Hii kauli niliandika kwa hisia sana msimu uliopita, MAN UNITED wamelifanyia kazi wamerudi na mikakati mipya, kocha mpya, wachezaji hii ndiyo we so called FOOTBALL sio vilabu vyetu kama YANGA , SIMBA , MBEYA CITY nk vilabu vya tanzania banah, angalau AZAM wanajuwa nini maana ya kurudisha na kutengeneza faida kwenye football, go go go ma United, go go go leicester cityHahahahahaha mtani hardworks pays off, nyie mtabaki na majina yenu makubwa ila vijana watabaki na ushindi, winning is all what matters to us my dia, vipi mna mikakati gani kwa msimu ujao mtani.... Usajili, format, new coach, new strategies...... Msipo jipanga tu tuta retain our trophy to us
Too low way of thinkingAnashuka daraja
Wameshahamia timu za man city na man united. Lakini sitegemei timu hizo zitabeba ubingwa wa msimu huu.Wapenzi wa Leicester City naona mnajitayarisha kuhamia timu nyingine mpya...
Ranieri alishasema hili lililotokea msimu wa 2015/ 16 hujirudia kila baada ya miaka 20-28. Msimu huu wa 2016/ 17 ni wasindikizaji tu. Wenye karamu ni West Ham, Tottenham, Timu ya Malafyale (majogoo ya msituni), Arsenal na Chelsea.Leicester city ni fundisho kubwa kwenye mapambano ya kimaisha
Tumeshapoa mkuu.poleni humu ndani kwa kichapo tulichowapa leo OT.