Domo Kaya
JF-Expert Member
- May 29, 2007
- 531
- 59
Swali: Je, kuna tofauti gani ya vionjo (ladha) wakati unafanya tendo la kujamiiana kwa kutumia kondomu Vs Unapofanya bila kutumia kondomu? Ipi inakuwa tamu, bila ya kondomu (kavukavu) au unapokuwa umevaa kondomu?
Jibu: Mimi kama domo kaya.... nasema mapenzi bila ya kondomu ndio matamu zaidi huwezi kula pipi kwenye nailoni lake.... na kondomu pia sio nzuri sana na wala siziamini sana cos zingine ni kavu zinachubua msuguano ukizidi mwanamke hupata michubuko....... Pili kondumu zingine zinanuka mfano mzuri ni salama kondomu, na pia salama kondomu zinamafuta ambayo baadhi ya watu huwa yanawasababishia muwasho sehemu za siri.
Ushauri: Mimi kama domo kaya ushauri wangu ni kwamba ili ufanye mapenzi mazuri na matamu bora uchague mmoja umpendae kwa dhati muuende mkapime na baada ya hapo fungeni ndoa ili mfanye mapenzi yenye amani na sio ngono ambazo mwisho wake huwa ni wasiwasi.... ukitoka kajipu kidogo tu unadhani sijui tayari nimekanyaga miwaya....
Hilo ndio jibu langu na ushauri wangu nasubili wenzangu nione mtajibu nini ili tujifunze.
Jibu: Mimi kama domo kaya.... nasema mapenzi bila ya kondomu ndio matamu zaidi huwezi kula pipi kwenye nailoni lake.... na kondomu pia sio nzuri sana na wala siziamini sana cos zingine ni kavu zinachubua msuguano ukizidi mwanamke hupata michubuko....... Pili kondumu zingine zinanuka mfano mzuri ni salama kondomu, na pia salama kondomu zinamafuta ambayo baadhi ya watu huwa yanawasababishia muwasho sehemu za siri.
Ushauri: Mimi kama domo kaya ushauri wangu ni kwamba ili ufanye mapenzi mazuri na matamu bora uchague mmoja umpendae kwa dhati muuende mkapime na baada ya hapo fungeni ndoa ili mfanye mapenzi yenye amani na sio ngono ambazo mwisho wake huwa ni wasiwasi.... ukitoka kajipu kidogo tu unadhani sijui tayari nimekanyaga miwaya....
Hilo ndio jibu langu na ushauri wangu nasubili wenzangu nione mtajibu nini ili tujifunze.