Mwawado
JF-Expert Member
- Nov 2, 2006
- 993
- 252
Mwanakijiji jibu unapopaswa kujibu,na Timing ni muhimu katika majibu yako...Lakini kumbuka pia si kila shutuma/Lawama inabidi uitolee maelezo...Kukaa kwako kimya kunaweza kuwa jibu zuri kuliko Maandishi.Kila unachoandika kinafika kwa wakusudiwa na wanaangalia Maandishi yako kwa macho yaliyovaa Darubini....
Kuna Wakuu walikuja kwenye Inauguration ya Obama,walichukua muda na kuzungumza nawe kwa kukupigia simu!!na ninaelezwa kuwa walikuwa wanataka kuonana nawe,lakini muda haukuwaruhusu,kuwa makini kwa kila anayetaka contact zako,adui huwezi kumjua kwa sura/maneno yake,wapo wengi humu...nafikiri "wameshindwa Hoja wanaleta vioja" Tupo pamoja nawe Mkuu,kazi yako tunaiona na tunaithamini.
Kijarida chako cha "cheche" nafikiri sasa kimekuwa Daily News,kwa sababu Waungwana walio wengi serikali wanakisoma ,Kiboreshe zaidi,kwani Jamii ya sasa inatambua kuwa Serikali ipo kwa ajili yao,na sio kama zamani ambapo Watawala walikuwa ni 'elites" fulani wasioguswa.Keep up Brother!!
Kuna Wakuu walikuja kwenye Inauguration ya Obama,walichukua muda na kuzungumza nawe kwa kukupigia simu!!na ninaelezwa kuwa walikuwa wanataka kuonana nawe,lakini muda haukuwaruhusu,kuwa makini kwa kila anayetaka contact zako,adui huwezi kumjua kwa sura/maneno yake,wapo wengi humu...nafikiri "wameshindwa Hoja wanaleta vioja" Tupo pamoja nawe Mkuu,kazi yako tunaiona na tunaithamini.
Kijarida chako cha "cheche" nafikiri sasa kimekuwa Daily News,kwa sababu Waungwana walio wengi serikali wanakisoma ,Kiboreshe zaidi,kwani Jamii ya sasa inatambua kuwa Serikali ipo kwa ajili yao,na sio kama zamani ambapo Watawala walikuwa ni 'elites" fulani wasioguswa.Keep up Brother!!