Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,929
Yes and thank you very muchHiyo ni UNIX epoch. 1st January 1970 00:00:00 GMT.
In computer systems, huwa tunapima na kuhifadhi tarehe na muda kwa timestamp, ambayo ni idadi ya sekunde tangu epoch tajwa hapo juu.
Kwahiyo unapoiona popote in a computer system, maana yake ni kuwa tarehe (timestamp) inayozungumziwa haijawekwa au tarehe ni invalid, au there is a bug hivyo namba 0 ndiyo inahifadhiwa badala ya hiyo timestamp husika. Kwahiyo inapokuja kuwa parsed into tarehe ya kawaida tunayoelewa binadamu inakuwa 1st January 1970.
Ideally haitakiwi kuwa hivi. Watengenezaji wa system husika wanatakiwa kudetect pale ambapo timestamp imekosekana na kuweka neno jingine instead of hiyo default date.
Now you know.