Lara1 nimeumizwa na mume kipenzi, sasa nakuona kama role model

zen

Senior Member
Feb 6, 2016
106
94
Salam wadau,

Leo nimebeba mabegi yangu na mtoto na kurudi kwetu ili nijipange,ndoa yangu ya miaka miwili na mtoto mmoja ni ndoa ambayo nilikuwa najivunia kwa watu, mume wangu hana daily zozote za kucheat na hataki nifanye kazi anasema anawivu sana na anataka nizae kila mwaka.

Sasa jana kalala kaaacha simu yake nikaichukua kutumia Google kidogo ndipo nilipofungua history, nilikuta video chafu sana na booking za hotels na marina ya wanawake, naaondoka asubuhi kurudi kwetu ili nijipange kimaisha naona ni kufajana tu kama asemavo Lara1.

Je ungekuwa pahala kwangu ungefanya nini?
 
Salam wanau..leo nimebeba mabegi yangu na mtoto na kurudi kwetu ili nijipange.ndoa yangu ya miaka miwili na mtoto mmoja ni ndoa ambayo nilikuwa najivunia kwa watu mume wangu hana daily zozote za kucheat na hataki nifanye kazi anasema anawivu sana na anataka nizae kila mwaka.sasa jana kalala kaaacha simu yake nikaichukua kutumia Google kidogo ndipo nilipofungua history nilikuwa video chafu sana na booking za hotels na marina ya wanawake nilikuwa sana na kaondoka asubuhi kurudi kwetu ili nijipange kimaisha naona ni kufajana tu kama asemavo Lara1.je ungekuwa pahala kwangu ungefanya nini?
Sasa huyo Lara1 ndio nani, mshauri wa ndoa?, mume mpya ama ni nani?, sijui kwa nini wanawake wanakuwa wepesi sana wa kuwaamini wenzao hata kama wanadanganywa ili mradi wakiona mwenzao ni mjanja mjanja tayari keshaingia king
Usiamini kila kinachoandikwa humu, kuna watu wako tofauti sana na kile wanachokiandika, unaweza kuta mwenzio yuko kwa mume wake wewe unaachika kwa kufata maneno yake ya JF
 
Hivi kuna shida gani na hii tarehe 1st of January 1970? Huyu naye ni new member na kazaliwa tarehe hiyo ni mtu wa tano ndani ya week moja kugundua hili sijui wako wangapi?
Kuna watu wengi nahisi walizaliwa usiku wa mwaka mpya huu ndani. Hapa kuna walakini kaka mkubwa Sio bure
 
Hata huko kukubali kuolewa inaonekana umekurupuka tu, ndio maana leo pia unakrupuka kuikimbia ndoa. Huyo Lara 1 ndio nani! Acha kufanya maamuzi kwa mawazo ya mitanandaoni, akili ya kuambiwa changanywa na zako.
 
Kwa hiyo unaishi ndoani kwa kulinganisha na uharo wa lara1 anaoletaga humu....ww ni mwanamke mzigo bora umempunguzia uzito wa zigo huyo mwanamme....lala mbele huko renew old x wako uendelee kupuyanga....menopause itakukuta soon....na wenzako utakuta wanasema watampata lini huyo unaemuacha kisa unawaza lara three sijui
 
LOL! Si ajabu wachangiaji humu hatuzidi mia hamsini (150).
Nakumbuka mwaka 2012/13 ulifanyika mchujo wa post aisee walikamatwa wengi kweli, sasa hii hali inajirudia kwa kasi kuna umuhimu wa kufanya tena hili zoezi
Uzuri wa hizi ID za 1st of January 1970 hazigombani na mtu hata siku moja ziko humble kweli, shida iko kwa wale ambao ukimshinda kwenye hoja fulani anarudi na ID nyingine maalum kwa ajili ya kukashifu kukukejeli na matusi
 
Nakumbuka mwaka 2012/13 ulifanyika mchujo wa post aisee walikamatwa wengi kweli, sasa hii hali inajirudia kwa kasi kuna umuhimu wa kufanya tena hili zoezi
Uzuri wa hizi ID za 1st of January 1970 hazigombani na mtu hata siku moja ziko humble kweli, shida iko kwa wale ambao ukimshinda kwenye hoja fulani anarudi na ID nyingine maalum kwa ajili ya kukashifu kukukejeli na matusi
Ngoja "aneng'eneke" kwanza. Maadam ameishajulikana hatupi shida mkuu.
 
Nakumbuka mwaka 2012/13 ulifanyika mchujo wa post aisee walikamatwa wengi kweli, sasa hii hali inajirudia kwa kasi kuna umuhimu wa kufanya tena hili zoezi
Uzuri wa hizi ID za 1st of January 1970 hazigombani na mtu hata siku moja ziko humble kweli, shida iko kwa wale ambao ukimshinda kwenye hoja fulani anarudi na ID nyingine maalum kwa ajili ya kukashifu kukukejeli na matusi

Nakumbuka kipindi kile tukamkamata Bujibuji.

Wasamehe mkuu, ni utoto na baadhi ni ugumu wa maisha. Hata mimi kipindi kile nikiwa mtoto nilikuwa napenda kutukana watu humu ila siku hizi ukini-Quote nikikujibu ushukuru Mungu.
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom