King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,779
- 68,861
Usisahau mwanamikakati wa JPM amekuwa makamu....
Ndio, lakini hafuati mihemko/wapiga dili ya/wa MEKO.
Usisahau mwanamikakati wa JPM amekuwa makamu....
Wadanganye tu
Ohooo!!!Ana nongwa sana na kisirani bibie sijui kwa ajili hajajaliwa.
Kivipi nidanganye wakati Mama kashaweka wazi kwamba TRA wasinyanyase wafanyabiashara? Unajua mnyororo wa thamani ya uwepo wa biashara nyingi mtaani?
Best bite ukila kushoto mbele hapo unaikutaHivi nyumbani lounge ilikuwa mitaa gani hapa jijini...wajuzi mnisaidie.
Dogo MJINGA kama jina lake Mkuu, anadandia dandia tu hoja bila ya kuelewa kiini chake kwanza.Kivipi nidanganye wakati Mama kashaweka wazi kwamba TRA wasinyanyase wafanyabiashara? Unajua mnyororo wa thamani ya uwepo wa biashara nyingi mtaani?
😂😂😂Yani kanajiona sijui nani na kalivyo kakavu sijui sababu ya roho mbaya. mtu ameshindwana na kila mtu kwake mbaya kana matatizo sana haka kabibi
Sasa si mpaka uwe na hyo biashara..
Kumbuka pia hata huko marekani maisha hayajawahi kuwa rahisi?
Nazungumzia TZ mkuu wala sio US ,Enzi za JK maisha bora kwa kila MTZ ni sawa na awamu ya JIWE hapa kazi tu?
Hapo ndio mnapoharibu ,JIWE aliondoa wapiga dili wa JK akaweka wapiga dili wake kina mfugale,bashite,TPA,tanroad,Biswalo,Dotto James etc wapiga dili kipindi cha JIWE walikuwa wengi sana tena ndio wakaharibu hadi uchumi kwa kuwapora mabilioni wafanya biashara.Jiwe alikuwa amewakaba wapiga dili.