Lady Jaydee: Clouds FM ni wanafiki, wanataka wahongwe ili wapige nyimbo za wasanii

Cloudz ni genge la wahuni. Soon hiyo radio itaanza kuporomoka kama ilivyoanza fiesta.

Haiwezi kuporomoka hadi redio nyingine zitakaposikika mikoani kama clouds!Hapa nilipo ninalazimika kuisikiliza na miziki yao wanayoipenda ikiniboa nazima kwanza!Vijiredio vyetu(local)vinaiga mabaya yoote ya clouds mf kuongelea puani na miziki ile ile ya wasanii walewale hadi kero!Radio nyingine mko wapi?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Tatizo letu wabongo ni kukurupuka kusiko na kufikiria... kwa masikio yangu nimeusikia wimbo huu ukipigwa mara kadhaa kwenye kituo hicho halikadhalika niliusikia ukiwa introduced kwenye radio hiyo kwenye kipindi cha xxl na pia nimeisikia mara kadhaa kwenye vipindi tofauti... sitetei may be kama kuacha kuipiga wawe wameacha kuipiga hivi karibuni... ila akisema wimbo wake hauchezwi ni muongo... then inaonesha dhahiri wengi wanaocomment katika hili si wasikilizaji wa radio ila ni ushabiki ndio umetawala.. ni kweli wana matatizo ila si katika hili... binti ana jengine sio suala la wimbo kutokuchezwa hiyo ni sababu ya kujikusanyia idadi ya wafata mkumbo na ushabiki.
Sie yeye tuu!20% pia!na kwani lady ana nyimbo moja pekee?mbona anazo nyingi nzuri za zamani na nimezimiss sana!Na redio ndo hiyo ina miziki yake hata kama mibovu wao kuipiga tuu na kuisifu!huenda kweli wanahongwa kwani mingine inaboa sana ila unakuta kila kipindi inapigwa mf Nataka kulewa!hakuna ubunifu mambo ya ovyo ovyo tu!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Tatizo letu wabongo ni kukurupuka kusiko na kufikiria... kwa masikio yangu nimeusikia wimbo huu ukipigwa mara kadhaa kwenye kituo hicho halikadhalika niliusikia ukiwa introduced kwenye radio hiyo kwenye kipindi cha xxl na pia nimeisikia mara kadhaa kwenye vipindi tofauti... sitetei may be kama kuacha kuipiga wawe wameacha kuipiga hivi karibuni... ila akisema wimbo wake hauchezwi ni muongo... then inaonesha dhahiri wengi wanaocomment katika hili si wasikilizaji wa radio ila ni ushabiki ndio umetawala.. ni kweli wana matatizo ila si katika hili... binti ana jengine sio suala la wimbo kutokuchezwa hiyo ni sababu ya kujikusanyia idadi ya wafata mkumbo na ushabiki.

Now hawapigi na mara ya mwisho walivyokuwa wanapiga wanakata mashair ya profesa jay

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Super brand! Redio ya wafu... No! Ya watu. Machoni kama watu. Ila ina mashabiki wa kutosha.
 
Sugu akiongea mnasema muhuni, aya sasa clouds wanamletea lady jay dee beef ya kitoto kisa na mkasa wanaitamani ile program ya Diary of Lady jay dee iwe inarushwa clouds badala ya eatv.
Mutahaba anataka kila sanaa nzuri iwe chini ya THT ili awafanyie unyonyaji wake kama anaowafanyia kina barnaba na linah.
Kama vipi Vinega featuring Lady Jay dee kwenye ANTIVIRUS volume 3 harakati ziendelee.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

harakati kama kawa..
 
Pale clouds fm radio ya wa.... Kuna jamaa mmoja mtangazaji anaongea sana! Yaan 2much know anajua kila kitu dunian, jina lake limenitoka. Anyway ilikuwa favorite radio station yangu enzi hizo!
 
Hana lolote uyo.. Kapewa sana promo enzi za Gadna, sasa ivi hana mtu wa kumpigia debe pale ndio anajifanya ana uchungu... Wakat ule aliona sawa tu!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
jaydee embu atulie ajenge familia huu muziki ss tayari magharibi giza hiilo..Coz yy kapewa promo sn muda wake ss awaachie na wengine,Mmewe kila siku alikuwa anapiga nyimbo zake,huyo bazazi Ruge kambeba sn km msanii na kumgonga juu leo kadoda anatafuta wakufa nae...na redio zipo nyingi km mie clouds inaniboa niko zangu Choice..Hamieni Kwingine Jama.
 
jaydee embu atulie ajenge familia huu muziki ss tayari magharibi giza hiilo..Coz yy kapewa promo sn muda wake ss awaachie na wengine,Mmewe kila siku alikuwa anapiga nyimbo zake,huyo bazazi Ruge kambeba sn km msanii na kumgonga juu leo kadoda anatafuta wakufa nae...na redio zipo nyingi km mie clouds inaniboa niko zangu Choice..Hamieni Kwingine Jama.

duh Ruge mtu poa sana,alimbeba na ndizi alimpatia but still hana shukran
 
JD anataka kujidai ndiyo anafahamu sasa hivi?Ama labda anadhani haitaji kuwalipa madj anymore.

Hilo la madj kuhongwa na msanii ili wapige mziki wake mbona ndo kawaida?
 
Tatizo letu wabongo ni kukurupuka kusiko na kufikiria... kwa masikio yangu nimeusikia wimbo huu ukipigwa mara kadhaa kwenye kituo hicho halikadhalika niliusikia ukiwa introduced kwenye radio hiyo kwenye kipindi cha xxl na pia nimeisikia mara kadhaa kwenye vipindi tofauti... sitetei may be kama kuacha kuipiga wawe wameacha kuipiga hivi karibuni... ila akisema wimbo wake hauchezwi ni muongo... then inaonesha dhahiri wengi wanaocomment katika hili si wasikilizaji wa radio ila ni ushabiki ndio umetawala.. ni kweli wana matatizo ila si katika hili... binti ana jengine sio suala la wimbo kutokuchezwa hiyo ni sababu ya kujikusanyia idadi ya wafata mkumbo na ushabiki.
kweli kabisa, Tatizo mijitu ina Comment kwa hisia kwanza sio watu wa Music hata ukiwauliza hiyo nyimbo hawajawah kuiskia Popote, ila kwa kuwa anawasilibia Clouds watu wameunga tela, kama kweli yeye ni Fighter mbona hakuunga mkono wakati wenzie wakilalamika wakati huo bwana wake Gadner yupo pale nae si alikuwa ndo zake! Nyie wakurupukaj mnashusha hadhi ya Jukwaa sio kila kitu kujifanya Master!
 
Mna uhakika hiyo ni account ya kweli ya JD!? Mbona wasanii wasipopigiwa nyimbo zao na radio tofauti na Clouds hawalalamiki? Kwa maana hiyo Clouds ndio baba wa burudani TZ. Mti wenye matunda ndio unaotupiwa mawe.
 
Hii radio inajifanya ina miungu watu sana. Eti peoples station wakati ina ubaguzi. Mfyuuu.

kwani ni lazima zipigweeee?anzisheni na nyie radio stations na sio kupiga majungu mtaani kuwapangia watu wafanye nini na mali zao ebo!!!we nani anakupangia nguo za kuwanunulia wanao wapendeze?
 
Back
Top Bottom