Ama kweli dunia hadaa na hakunaga rafiki wa kudumu. JD mbona amepewa promo sana na clouds?
labda wimbo wake mpya, clouds wanapga sana nyimbo za huyu dada, tatizo anataka zipigwe zote kwa mpigo ndo atarizika, redio ya watu inapiga nyimbo za watu wote, tanzania kuna utitiri wa nyimbo heri yeye anazo hata za kuhonga ili wapige nyimbo zake!