All TRUTH
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 5,453
- 2,564
Ivi huyu deusi na jukwaa lake la katiba kufanya maelewano na hao mapolisi na kusitisha maandamano ana maana gani? Ni vema hata asingesema na kutaja hiyo tarehe ya mandamano maana yeye ndo analeta matatizo watu sisi tulishajiandaa kwa tukio hilo.