Manufaa gani ya taifa unayoyasema maana yapo mengi taja hata moja.Mkuu hata CDM hela wanayotumia hovyohovyo kwenye maandamano ni fedha wanayopewa na serikali kama ruzuku, na pesa hiyo ni kodi yetu watanzania, ni busara kama kodi yetu ikitumika kwa manufaa ya taifa, na si maandamano.