Mungu, Watanzania wamepigika na wamechoka kweli kweli. Wakati Watanzania wanahangaika kila siku kutafuta angalau mlo wa siku, Mawaziri, Wabunge na waandamizi wengine wa serikali wanaishi maisha ya ANASA na hawajali hata kidogo shida za Watanzania.
Mungu, nakuomba uwaamshe Watanzania ili kila anayeitwa Mtanzania:
Utukuzwe Mungu mkuu usiye na upendeleo na usiyeshindwa jambo lolote.
Amina.
Mungu, nakuomba uwaamshe Watanzania ili kila anayeitwa Mtanzania:
- Asikubali kudanganywa tena.
- Asiogope tena kuchukua hatua kali dhidi ya hawa wanyonyaji.
- Athubutu kusema"sasa basi" bila kuogopa chochote.
Utukuzwe Mungu mkuu usiye na upendeleo na usiyeshindwa jambo lolote.
Amina.