Wafanye kazi kwa bidii kisha kile kipatikanacho kinachukuliwa na wachache? kwanza kazi gani wewe unataka wafanye? walime kama kule Rukwa halafu hakuna mipango ya masoko kisha vyakula vinaozea ghalani? au wachimbe dhahabu kisha mazungu yakigundua kuwa hapo ipo dhahabu nyingi wanaiambia serikali toa hao tuwekeze wakibisha fukia? Kama hujui faida ya maandamano nenda Misri kaulize wanategemea nini baada ya hapo?Nini faida ya MAANDAMANO haya, nchi hii ni maskini watanzania wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii na si maandamano.
Nini faida ya MAANDAMANO haya, nchi hii ni maskini watanzania wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii na si maandamano.
Nini faida ya MAANDAMANO haya, nchi hii ni maskini watanzania wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii na si maandamano.
Lowasa, Jk, Makamba, Rostam na Riz ni kazi ipi wanayofanya kwa bidii kuliko ndugu zetu wanaoteseka mashambani, baharini, barabarani na madarasani wakisubiri kujifia wakiwa bado maskini!!??Nini faida ya MAANDAMANO haya, nchi hii ni maskini watanzania wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii na si maandamano.
Nini faida ya MAANDAMANO haya, nchi hii ni maskini watanzania wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii na si maandamano.
Nini faida ya MAANDAMANO haya, nchi hii ni maskini watanzania wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii na si maandamano.
Mpango uendelee kwa nchi nzima sasa,mkishindwa kuitumia nafasi hii ni vigumu kuipata tena.
Nini faida ya MAANDAMANO haya, nchi hii ni maskini watanzania wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii na si maandamano.
tufanye kazi kwa bidii nyie mzichukue kiulaini kwenye dowans?
Anaeuliza nn faida ya maandamano angekuja akashuhudia huu umati halafu atajiöngeza mwenye
Nini faida ya MAANDAMANO haya, nchi hii ni maskini watanzania wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii na si maandamano.
Location wise ama thoughts wise?mkuu uko wapi wewe?
Nini faida ya MAANDAMANO haya, nchi hii ni maskini watanzania wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii na si maandamano.
Mnapoteza muda ya huo umati wa watu, mnapoteza nguvu mali kazi ya taifa...
Tanzania haitajengwa na maandamano kamwe.