maguzumasese2005
JF-Expert Member
- May 1, 2014
- 642
- 169
Wewe sio mbaguzi?
Sio mbaguzi,ila nakuomba ukipata muda nenda nilikuwa huko kama miaka miwili its shame to them.
Wewe sio mbaguzi?
Mkuu nimeweka vigezo viwili katika mtazamo kuhusu Israel.
1) kinahusu data ambazo zimekusanywa.
2) Kinahusu Imani za kidini.
Kuleta uthibitisho kwenye kigezo cha imani za kidini ni ngumu sana, lakini kigezo cha kwanza kuna data zake ambazo ni hizi hapa chini.
Sio mbaguzi,ila nakuomba ukipata muda nenda nilikuwa huko kama miaka miwili its shame to them.
wadau nimeona niulize swali hili,
kihistoria wayahudi wamekuwa wakichukiwa na jamii mbalimbali duniani.
Jana tu museum yao imeshambuliwa huko ubelgiji.
Wayahudi wamekuwa wakipokea vitisho katika nchi nyingi duniani, waliuawa kama mbu huko ujerumani, pia kuna pozi spesho kwa ajili ya kuwabagua (anti semitic gesture).
Baada ya kuona wanabaguliwa, marekani ili hapa kuwalinda popote walipo duniani.
Kwanini wanachukiwa kiasi hicho?
Mkuu nimeweka vigezo viwili katika mtazamo kuhusu Israel.
1) kinahusu data ambazo zimekusanywa.
2) Kinahusu Imani za kidini.
Kuleta uthibitisho kwenye kigezo cha imani za kidini ni ngumu sana, lakini kigezo cha kwanza kuna data zake ambazo ni hizi hapa chini.
Wayahudi si watu wazuri,ni wakatiri,dharau,kebehi kujiona wao ndo bora,wezi,majigambo,etc.
Hawa jamaa hata mungu wao walimsumbuaga sana wakati anawatoa misri utumwani kwenda nchi ya caanan.
Mkuu nimeweka vigezo viwili katika mtazamo kuhusu Israel.
1) kinahusu data ambazo zimekusanywa.
2) Kinahusu Imani za kidini.
Kuleta uthibitisho kwenye kigezo cha imani za kidini ni ngumu sana, lakini kigezo cha kwanza kuna data zake ambazo ni hizi hapa chini.
Nianzie kiimani...Jews...wamegawanyika katika dini kuu mbili..Christians and judists.. hawa historia yao na kubaguliwa kwao kulianzia walipokuwa utumwani misri...why?walikuwa na uwezo mkubwa sana..kiakili na ndio maana farao akampa yusufu cheo kikubwa sana,walipitia mahangaiko makubwa na mapiano makali sana na kwa msaada wa Mungu wakafika kaanani (current israel),kumbuka Bible inasema hawa ni taifa teule na Mungu huwabariki sana na kuwajalia vipawa vingi..mti wenye matunda ndio hupigwa mawe...hawa watu kwa misingi ya imani zao,wako tofaut saana na imani zingne na husmamia misingi yao..watu wenye akili hushindwa kushndana nao kiuhalisia na mwishowe ni frustrations,just imagine walikuwa German na wakawa kwenye mahiri kwenye sekta zote..philosophy,medicine,engineering na zinginezo,hitler akaanzisha na kupandikiza chuki..lakini ukweli siokwamba germans wote wanawachukia jews!..hata Einstein alipokimbia holocaust kwenda america ndio aliyegundua atomic bomb...walishurutishwa kwa akili zao kutengeneza gari ya injini nyuma kwa ajili ya world war kwa ajili ya wajerumani...Muslims ndio adui wa kiimani wa jews kwa sababu za kiistoria na mapigano ambayo muslims wanadai ni uonevu..hapo sijikiti kabisa na ndio maana wengo wanao waua au kuwabagua jews ni wao...france na belgium ndio nchi za magharibi zenye muslims wengi na haswa tokea north africa na wamehusishwa sana na vitendo hivyo,otherwise Jews are blesseeeeeeeeed!
Nianzie
kiimani...Jews...wamegawanyika katika dini kuu mbili..Christians and
judists.. hawa historia yao na kubaguliwa kwao kulianzia walipokuwa
utumwani misri...why?walikuwa na uwezo mkubwa sana..kiakili na ndio
maana farao akampa yusufu cheo kikubwa sana,walipitia mahangaiko makubwa
na mapiano makali sana na kwa msaada wa Mungu wakafika kaanani (current
israel),kumbuka Bible inasema hawa ni taifa teule na Mungu huwabariki
sana na kuwajalia vipawa vingi..mti wenye matunda ndio hupigwa
mawe...hawa watu kwa misingi ya imani zao,wako tofaut saana na imani
zingne na husmamia misingi yao..watu wenye akili hushindwa kushndana nao
kiuhalisia na mwishowe ni frustrations,just imagine walikuwa German na
wakawa kwenye mahiri kwenye sekta zote..philosophy,medicine,engineering
na zinginezo,hitler akaanzisha na kupandikiza chuki..lakini ukweli
siokwamba germans wote wanawachukia jews!..hata Einstein alipokimbia
holocaust kwenda america ndio aliyegundua atomic bomb...walishurutishwa
kwa akili zao kutengeneza gari ya injini nyuma kwa ajili ya world war
kwa ajili ya wajerumani...Muslims ndio adui wa kiimani wa jews kwa
sababu za kiistoria na mapigano ambayo muslims wanadai ni uonevu..hapo
sijikiti kabisa na ndio maana wengo wanao waua au kuwabagua jews ni
wao...france na belgium ndio nchi za magharibi zenye muslims wengi na
haswa tokea north africa na wamehusishwa sana na vitendo hivyo,otherwise
Jews are blesseeeeeeeeed!
Walikufanyia nini ambacho ni cha ajabu?
wanatumia nguvu za shetani (freemason) ndio maana wanachukiwa sana na mataifa yote, hata wakitaka kupigana vita na nchi yeyote wanamwuliza kwanza shetani kuwa vita hii tutashinda? Akiwaambia ndiyo wanaingia vitani wakiambiwa hapana , wanatulia tu
Nakushauri ukipata muda nenda mkuu haya mambo si ya kuzungumza hutaamini especially kama utachanganya na mambo ya kiimani.
You are totally wrong check percentage ya jews ,wakristo waliopo middle east wote ni waarabu wapalestina ambao ndio sehemu waliyozaliwa.wayahudi wakristo hawafiki hata asilimia moja 1 .please mnajiongopea sana hawamtambui yesu na wala hawamjui mnajipendekeza tu.
wanatumia nguvu za shetani (freemason) ndio maana wanachukiwa sana na mataifa yote, hata wakitaka kupigana vita na nchi yeyote wanamwuliza kwanza shetani kuwa vita hii tutashinda? Akiwaambia ndiyo wanaingia vitani wakiambiwa hapana , wanatulia tu
yani mpaka wanampinga pope ,ndo maana leo pope badala ya kutua Tel aviv inabidi atue west bank palestine kisha aende bethelehem na hii ni mara ya kwanza kwa pope kubypass tel aviv na kutua west bank.You are totally wrong check percentage ya jews ,wakristo waliopo middle east wote ni waarabu wapalestina ambao ndio sehemu waliyozaliwa.wayahudi wakristo hawafiki hata asilimia moja 1 .please mnajiongopea sana hawamtambui yesu na wala hawamjui mnajipendekeza tu.
sidhani katika imani ya kiyahudi kuna neno shetani,ngoja ntafuatilia nione,japo niliwahi kusoma sehemu kwamba katika maandiko ya kiyahudi hakuna shetani.Kuna binadamu wana fikiri kwa namna ya ajabu sana!
Mkuu adolay kwanza unapojengwa hoja ya mostly positive and mostly negative katika mitazamo ya wananchi kwenye uchunguzi huu ina maana ni mtazamo wa wananchi kuhusu nchi tajwa katika nyanja zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii.Kutokana na utafiti huu ambao unaonekana dhahili katika variation kwenye graph.....Juu left na chini Righ
Nini mtazamo wako ndugu Ng'wamapalala
nikwamba wanachukiwa..........?
Wadau nimeona niulize swali hili,
Kihistoria wayahudi wamekuwa wakichukiwa na jamii mbalimbali duniani.
Jana tu Museum yao imeshambuliwa huko Ubelgiji.
Wayahudi wamekuwa wakipokea vitisho katika nchi nyingi duniani, waliuawa kama mbu huko ujerumani, pia kuna pozi spesho kwa ajili ya kuwabagua (anti Semitic gesture).
Baada ya kuona wanabaguliwa, Marekani ili hapa kuwalinda popote walipo duniani.
Kwanini wanachukiwa kiasi hicho?
Yes, Iran ni chukizo inafuatiwa na Pakistani, North Korea and Israel!.Nini maana ya Irani kuwekwa chini kabisa, kisha pakstani na North korea kuwa chini ya Israel
Inamaana uchunguzi huu unaifanya Irani kuwa chukizo zaidi ikifuatiwa na pakistani na North korea kisha islael?